Jikusanyeni muwe wengi mgome. Maduka ya mtaa mmoja yakigoma kulipa kuna jambo litatokea, sasa kama ww unakataa wenzako wanalipa bora tu ulipe. Raia tunatakiwa tujue kijitetea. Hii nchi hata speed barabarani abiria hawawezi kumkemea dereva. Woga kila mahali.