Sungusungu ni mzigo tunaoongezewa sisi makapuku

Sungusungu ni mzigo tunaoongezewa sisi makapuku

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Basi ni hivo tu yaani,

Ofisini naambiwa 5000, nyumbani naambiwa 2000, hizi hela ni nyingi sana. Endeleeni tu kutuumiza sisi tusiokuwa na sauti, maana mkija kudai siwaoni mkigonga mageti na kuomba huo mchango wa ulinzi.
 
Ndugu zangu afrika sio bara bali ni balaaaa
Sijawahi sikia udhunguni kuna sungusungu police wanalala na wake zao na wao walipe buju nne alafu walindwe
 
hii kitu hivi ipo kisheria au maamuzi ya mtaa na mtaa maana imekaa kichoko choko sana haiwezekani polisi wapo alafu tunalipa watu wakuokota okota kuja kutulinda huu ni umaandazi mazafanta masisiemu
 
Basi ni hivo tu yaani,

Ofisini naambiwa 5000, nyumbani naambiwa 2000, hizi hela ni nyingi sana. Endeleeni tu kutuumiza sisi tusiokuwa na sauti, maana mkija kudai siwaoni mkigonga mageti na kuomba huo mchango wa ulinzi.
hawa wajinga mm nimeachakutoa siku iz wakija nawaambie bado sina [emoji28][emoji1787]
 
hii kitu hivi ipo kisheria au maamuzi ya mtaa na mtaa maana imekaa kichoko choko sana haiwezekani polisi wapo alafu tunalipa watu wakuokota okota kuja kutulinda huu ni umaandazi mazafanta masisiemu
Ni kama janjajanja ya mwenge tu serikaali imetenga bajeti wakurugenzi wanachangisha watumishi na huku kitaa polisi wanajaziwa mafuta na serikali, wanayatumia kusindikizia magendo na bangi huku tukichangishwa pesa ya sungusungu
 
Back
Top Bottom