Sungusungu wapigwa marufuku kupiga wananchi

Sungusungu wapigwa marufuku kupiga wananchi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
FYdGaLzXwAQIEeB.jpg

FYdGbNTXgAAJeKz.jpg
Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora limepiga marufuku hatua ya walinzi wa jadi maarufu kama Sungusungu kukamata wahalifu na kuwashushia vipigo vizito ambavyo wakati mwingine vimekuwa vikiwapelekea kupoteza maisha kabla ya kufikishwa mikononi mwa Polisi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Richard Abwao wakati akizungumza na jeshi hilo la jadi amewambia hawapaswi kutumia nguvu zenye madhara makubwa kwa wahalifu ikiwemo kuua pindi wanapo wakamata.

Kamanda amesema suala la ulinzi na usalama ni jukumu la kila mwananchi kwa mujibu wa sheria.

Chanzo: Eatv
 
Hawa SunguSungu huku mtaani kwetu wameshajenga chuki na baadhi ya raia, siku wakigeuziwa kibao sijui itakuwaje
 
Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora limepiga marufuku hatua ya walinzi wa jadi maarufu kama Sungusungu kukamata wahalifu na kuwashushia vipigo vizito ambavyo wakati mwingine vimekuwa vikiwapelekea kupoteza maisha kabla ya kufikishwa mikononi mwa Polisi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Richard Abwao wakati akizungumza na jeshi hilo la jadi amewambia hawapaswi kutumia nguvu zenye madhara makubwa kwa wahalifu ikiwemo kuua pindi wanapo wakamata.

Kamanda amesema suala la ulinzi na usalama ni jukumu la kila mwananchi kwa mujibu wa sheria.

Chanzo: Eatv
mbona wana matunguli
 
Katiba mpya ndio mwarobaini wa yote haya, watanzania ndipo tutajua nani mwenye power to arrest, muda gani unatakiwa uwe detection kabla hujasimama mahakamani, sheria za sasa hata mtendaji kata anakusweka ndani, mwanajeshi anakusweka ndani etc etc ni vurugu tu,katiba mpya itatupa uwezo wa kumzuia suspect na kuwaita police ili waje kufanya arresting (na wao baada ya ku apply mind zao)
 
Yan sungusungu wa huku mbeya yan hata uwe na usafr watakulenga na manati mixa mbigimbigi
 
Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora limepiga marufuku hatua ya walinzi wa jadi maarufu kama Sungusungu kukamata wahalifu na kuwashushia vipigo vizito ambavyo wakati mwingine vimekuwa vikiwapelekea kupoteza maisha kabla ya kufikishwa mikononi mwa Polisi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Richard Abwao wakati akizungumza na jeshi hilo la jadi amewambia hawapaswi kutumia nguvu zenye madhara makubwa kwa wahalifu ikiwemo kuua pindi wanapo wakamata.

Kamanda amesema suala la ulinzi na usalama ni jukumu la kila mwananchi kwa mujibu wa sheria.

Chanzo: Eatv
sawa wafate sheria c uonevu.
 
Back
Top Bottom