MPANDA Jr
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,295
- 159
Wadau
Nimejulishwa na watu wangu kwa ufupi kwamba yule mdada mmiliki wa kipindi cha The Mboni Show ni mmoja wa wahanga wa ajali inayohusisha basi na gari nyingine hapa Gairo. Nipo mbioni kuelekea Kituo cha Afya Gairo kupata ukamilifu wa tukio.
Mnisamehe kwa kutoa briefing kabla sijapata full news.
Call it a Head Line
================================
Habari Zaidi
================================
Nimejulishwa na watu wangu kwa ufupi kwamba yule mdada mmiliki wa kipindi cha The Mboni Show ni mmoja wa wahanga wa ajali inayohusisha basi na gari nyingine hapa Gairo. Nipo mbioni kuelekea Kituo cha Afya Gairo kupata ukamilifu wa tukio.
Mnisamehe kwa kutoa briefing kabla sijapata full news.
Call it a Head Line
================================
Habari Zaidi
================================
Muongozaji wa Filamu mahiri na aliekuwa mume wa muigizaji maarufu wa filamu Monalisa, George Tyson amefariki dunia usiku huu kutokana na ajali ya gari iliyotokea Kibaigwa akiwa njiani kurudi kwenda Dsm. Mwili wa marehemu George Tyson umefikishwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti mkoa wa Morogoro.
UPDATES
================
Wadau wa JF nimefanikiwa kujionea gari liyopata ajali namna ilivyobondeka, ni aina ya Toyota Custom (kama Noah)....
Lakini kwa Dada Mboni hakuwemo katika Gari hiyo kwani walikuwa ktk msafara wa pamoja wenye gari 3 na hiyo moja ilipasuka gurudumu la mbele na dereva akakamata brek kwa ghafla ndo ikaanguka. Pia tayari kijana mmoja ambaye ni miongon mwa watu wa Karibu wa Mboni amefariki hapahapa Hospitali Gairo.
Kwa ufupi Mboni alikuwa katika gari nyingine aina ya Land Cruiser VX... hivyo amenusurika...
Lakin muda huu Mboni na wenzake wapo hapa Gairo na wameshakabidhi gari iliyopata ajali polisi na majeruhi wamekimbizwa hospitali ya rufaa Morogoro.
Nimeshindwa kupiga picha kwa sababu ya Giza umeme ulikatika na pia natumia simu kitochi.
Usiku mwema kwa wale wa EA