Supabets Dar kikaangoni kwa kushindwa kumlipa mteja aliyeshinda milioni 108

Supabets Dar kikaangoni kwa kushindwa kumlipa mteja aliyeshinda milioni 108

Michezo ya kamari kuna ukanjanja mwingi sanaa hata ulaya ni hivi hivi ila huko wapo makini sana kwani wakikosea watalipa zaidi ya mara mbili hakuna chakusema odds zilikuja kimakosa siyo kosa la mteja walipe tu ila mimi sina imani na bodi ya michezo ya kamari inayoongozwa na Tarimba kwani ni wala rushwa sina imani kama watatenda haki tusubiri uone watasema kweli sever zilizingua ndo imetoka!
Upo Sahihi Mkuu Huyo Jamaa Sijui Kama Atalipwa Hiyo Pesa Yote.
Nje Ya Hapo Tujiize Maswali.

1. Je Hakuna Watu Walilipwa Kwa Odds Hizo Hizo Ila Hiyo Wanamkatalia Kisa Kashinda Nyingi?!.

2. Je Hakuna Watu Waloliwa Kwa Makosa Ya Odds Hizo Hizo?

3. Systeam Haitambui Ukomo Wa Kiwangi Cha Juu Cha Odds?!.

4. Kwanini Hao Waloshinda Pesa Ndogo Wamelipwa Lakn Huyu Aloshinda Nyingi Hajalipwa Ikiwa Wote Walichagua Game Ilozidishwa Odds?

Hawa Super Bet Ni Jipu, Wanahofia Mtaji Wao, Wao Wanataka Kula Tu Kuliwa Hawataki.
 
Michezo ya kamari kuna ukanjanja mwingi sanaa hata ulaya ni hivi hivi ila huko wapo makini sana kwani wakikosea watalipa zaidi ya mara mbili hakuna chakusema odds zilikuja kimakosa siyo kosa la mteja walipe tu ila mimi sina imani na bodi ya michezo ya kamari inayoongozwa na Tarimba kwani ni wala rushwa sina imani kama watatenda haki tusubiri uone watasema kweli sever zilizingua ndo imetoka!
Kwa Huo Mpunga Mi Ningemtafuta Wakili Namuahidi 10Mill Mpunga Ukicheua, Hapo Watalipa Tu.
 
Michezo ya kamari kuna ukanjanja mwingi sanaa hata ulaya ni hivi hivi ila huko wapo makini sana kwani wakikosea watalipa zaidi ya mara mbili hakuna chakusema odds zilikuja kimakosa siyo kosa la mteja walipe tu ila mimi sina imani na bodi ya michezo ya kamari inayoongozwa na Tarimba kwani ni wala rushwa sina imani kama watatenda haki tusubiri uone watasema kweli sever zilizingua ndo imetoka!
Kaka kama wanakula rushwa huyu jamaa an haki hata ya kwenda kwa Nape.. Kosa sio lake .. Ina maana wangemla pesa wangezirudisha?
Mkuki mchungu kwa nguruwe
 
Michezo ya kamari kuna ukanjanja mwingi sanaa hata ulaya ni hivi hivi ila huko wapo makini sana kwani wakikosea watalipa zaidi ya mara mbili hakuna chakusema odds zilikuja kimakosa siyo kosa la mteja walipe tu ila mimi sina imani na bodi ya michezo ya kamari inayoongozwa na Tarimba kwani ni wala rushwa sina imani kama watatenda haki tusubiri uone watasema kweli sever zilizingua ndo imetoka!
Kule Hakuna Figisu Kaka Na Ukishinda Wanakupa Maana Wakifanya Figisu Kampuni Inafungiwa.
 
Ngoja nianze kubet kumbe kuna mihela ya burebure!!
katika bia 4 napunguza, nakunywa 2, mbili nabet!!!^_^!
 
Vijana mfanye kazi! kamari ina addiction mbaya sana! haina tofauti na punyeto! au kale kamchezo ka wale kakapoa wa mombasa. easy to get it in, but very hard to get out of it!
 
Back
Top Bottom