Supakasi ni internet isiyo na kikomo na iliyosambaa zaidi, Vifurushi 115K wengi hatuviwezi. Nashauri kuwe na vifurushi vya elfu 60 ikipendeza elfu 50

Tatizo ni bei zao tu.

Ila hakuna kama Vodacom kwenye suala la mawasiliano TZ.

Na sahivi imesambaa vibaya mno, kuna vijiji unakatiza unakuta 4G mpaka unajiuliza hawa jamaa wamemletea nani huku?

Siku wakishusha fibre yao, hawa wengine watakimbia kabisa.
 
Kipo kwenye menu ya kawaida voda 50k unapata around 20 to 30gb zikiisha inakua slow lakini unlimited
Nimetoka Ofisi za voda nimeiona hii... wanaita Vodacom Supakasi Unlimited ambayo inaanzia 50k kwa gb24.6 na
85k nimesahau gb ngapi wanatoa...

Hii wameweka bonus na ili upate huduma hii ni hadi line yako iombewe uwezo wa kujiunga na vifurushi hivi ... ukimaliza hizo gb speed inashuka unaendelea kutumia kwa mwezi mzima.
 
Ni kweli Vodacom wapo vizuri sana kwenye suala la net, 4G Unapata hata kwenye mapori ya akiba, Airtel hata kwenye makao makuu ya Wilaya bado wana Edge.
 
Tatizo la hii mkuu ni transparency ya speed ikishuka. Kila mtu anakuambia information nyengine. Kuna mdau ameweka hadi screenshot anapata 1mbps speed ikishuka, mwengine anakwambia hata file la 200mb inachukua masaa. Vyema voda watuweke wazi cha 50k, 80k, 30k na vyenginevyo speed ipoje? Kama kuna mtu unammudu anaweza kupa hili jibu mkuu tuwekee information.
 
Ni kweli Vodacom wapo vizuri sana kwenye suala la net, 4G Unapata hata kwenye mapori ya akiba, Airtel hata kwenye makao makuu ya Wilaya bado wana Edge.
Wahindi wanabana bajeti.
 
Ni kweli Vodacom wapo vizuri sana kwenye suala la net, 4G Unapata hata kwenye mapori ya akiba, Airtel hata kwenye makao makuu ya Wilaya bado wana Edge.
nipo Dar karib na Pwani, mpakani kabisa, Voda inasoma 4G full bars

hawa wengine ( Tigo, Halotel, Airtel ) kashika sana ni 3G, tena dk 2 inakata, dk 2 inarudi, mara irudi Edge
 

[emoji419]
 
nipo Dar karib na Pwani, mpakani kabisa, Voda inasoma 4G full bars

hawa wengine ( Tigo, Halotel, Airtel ) kashika sana ni 3G, tena dk 2 inakata, dk 2 inarudi, mara irudi Edge
Kama Tigo siku hz wamezidi kua wabovu kwenye internet sijui shida ni NN,hiyo 4G Yao (tena kuna muda inapanda mpaka 4G+) mchana ni mwendo wa Kobe Labda kuanzia saa tano za usiku ndo angalau inakua faster.
Yani nimejiunga na Postpaid ya Tigo ila inabidi niwe naunga na Voda kila week ili ikitokea net ya Tigo imezingua nisiwtch kwenda Voda then baadae ndo nirudi Tigo.

Kiukweli Voda ni mtandao na Nusu.
 
Tigo muda huu saa3 Asubuhi

Ikifika mchana inadrop
 
Yani Voda akisambaza fiber bhas TTCL kaisha maana ana resources zote lakini anashindwa kuzitumia,nahisi hili shirika linafanyiwa hujuma
Voda kwa sasa ana mtandao mkubwa wa towers hivyo yeye anasambaza devices za internet....
TTCL ni mzembe sana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Yani Voda akisambaza fiber bhas TTCL kaisha maana ana resources zote lakini anashindwa kuzitumia,nahisi hili shirika linafanyiwa hujuma
Hakuna hujuma.

Mkurugenzi anachaguliwa kwa kumiliki kadi ya chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…