Supakasi ni internet isiyo na kikomo na iliyosambaa zaidi, Vifurushi 115K wengi hatuviwezi. Nashauri kuwe na vifurushi vya elfu 60 ikipendeza elfu 50

Naona soko limefunguka, kwa sasa TTCL kajisahau, atakumbuka keshapitwa na wateja hawapo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
TTCL wana hiyo program ya kuunganisha fiber majumbani, ila speed ya hiyo installation, Yesu anaweza akarudi bado hujapata huduma. Ila ukipata offer zao nzuri, 20mbps kwa 50,000 na 40mbps kwa 100,000 na kuendelea, zote ni unlimited kwa 1 month
 
TTCL wana hiyo program ya kuunganisha fiber majumbani, ila speed ya hiyo installation, Yesu anaweza akarudi bado hujapata huduma. Ila ukipata offer zao nzuri, 20mbps kwa 50,000 na 40mbps kwa 100,000 na kuendelea, zote ni unlimited kwa 1 month
Hao ttcl sitakuja watafuta, tuliwahi enda wakaleta hesabu za kikuda sana
 
Kama wahitaj huduma ya supakasi internet toka Vodacom kindly check me via 0744 355811
 
Hivi Vodacom post paid Yao Ina utaratibu gani na shilingi ngapi, kila nikiwasiliana nao wananiambia watanitafuta baada ya masaa 24, siwaelewi kabisa na nilipo 3G ipo ya Voda tu mitandao mingine inasoma E
Utaratb ni simple sana haijalishi uko wap a utapata huduma

Now ni easy anywhere in Tanzania utapata huduma Yako ya supakasi LTE

20mbps per 115,000/=(unlimited)

Kindly check me via
0744355811

For more information
 
TTCL ni mbuzi tu, huduma zao ni mbovu sana. hata customer care ni 0. yani nimeshangaa bado mpaka sasa ni mwezi wa 4 unaisha eti hawana laini za simu. ukienda kununua unaambiwa laini zimeisha. kwahiyo kama ukipoteza laini ya ttcl kwa sasa jiandae kukaa benchi mpaka laini zifike
 
Utaratb ni simple sana haijalishi uko wap a utapata huduma

Now ni easy anywhere in Tanzania utapata huduma Yako ya supakasi LTE

20mbps per 115,000/=(unlimited)

Kindly check me via
0744355811

For more information
Mpaka leo hujanipa update ya ile Unlimited Bundle
 
Kulikuwa na kitu kinaitwa Ha tunnel watu walikuwa wanatumia kupata free unlimited intaneti,saa hivi imefungiwa ila.sijajua ilikuwa inawezaje kufanya kazi baada ya hapo kushtukiwa ikawa imefungiwa na pia ndo sababu hauwezi download vitu kma zamani na pia ukiwa na mb chache data inajizima yenyewe . Na siku hizi sio mu ya vifurushi vya BlackBerry na sijui kwanini Blackberry wawe na vifushi vyao vya intaneti na je hii ni hadi kwa BlackBerry latest zenye Android ama ni mablackberry yakizamani tu ndo yanachagua vifurushi.
 
Aiseee ikitokea Wamempiga Ufaransa, waarabu watajidai mno

BlackBerry na sijui kwanini Blackberry wawe na vifushi vyao vya intaneti na je hii ni hadi kwa BlackBerry latest zenye Android ama ni mablackberry yakizamani tu ndo yanachagua vifurushi.
Blackberry za zamani kabla ya hizi za Android OS ndio zilikuwa na vifurushi vyake maalum, kwa kuwa zenyewe kufanya kwake kazi kwenye intaneti ilikuwa ni lazima zipate vitabu (service books) kutoka mtandao husika na ndio package ifanye kazi. Lakini hiyo package haiwezi kuwa tethered na kuipatia internet simu nyingine. Uzuri ni kwamba ilikuwa ni unlimited with no limitation as to speed, yaani ukipewa inakuwa full mwanzo mpaka tarehe ya kuisha kifurushi.
 
Tuliitumia sana unlimited hii enzi hizo, Zantel
 
Tuliitumia sana unlimited hii enzi hizo, Zantel
Ilikuwa unyama sana, shusha sana music albums na movies. Wakati huo pia pirates sites zilikuwa za kucheba, rapgodfather.com nk, ilikuwa balaa

Zantel ilikuwa ndio kama voda ya sasa, hakuna uongo kwenye speed ya intanet.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…