tuwe tunawapokea kwa viboko na kuwapeleka jela kama wiki moja,maana tumechoka kuwaona wakibanjuana mjengoni,huu si utamaduni wetu ,wametoka kucheza x,porn
Hukulazimishwa kuangalia ndio maana inabidi ulipie kuona channel
tuwe tunawapokea kwa viboko na kuwapeleka jela kama wiki moja,maana tumechoka kuwaona wakibanjuana mjengoni,huu si utamaduni wetu ,wametoka kucheza x,porn
me nahisi hawa washiriki wa bba walizaliwa bar
Supastaa wa mchezo wa kifanyana matuzi kwenye tv Feza Kessy anasema kasahau kiswahili kwa kukaa miezi mitatu kwenye danguro la BBA.
Upuuzi mtupu ni sawa na baharia mmoja alirudi baada ya kukaa siku nyingi baharini akaja na muondoko wa kunesa nesa baba yake anamuuliza kwanini anatembea kwa kuneza nesa jamaa akamwambia babake kuwa kwa kuwa alikaa sana baharini.
Baba yake akamwambia aache upumbavu mbona yeye hatembei kwa kupush kiuno mbele wakati kamuoa mama yake miaka 30 sasa
me nahisi hawa washiriki wa bba walizaliwa bar
Unakeketwa wewe na misumari niwaze kwenda kwenye upumbavu kama ule?ni hayo tu au una beef nae?
we ukipewa nafasi ya kushirik BBA huendi?
BBA ni biashara ya watu platform nzima ni ktkt kuwaridhisha waliowekeza,mambo ya ku-date,ngono.rship ni ktk kuifanya biashara ya BBA ivutie,uhuru tablets ziuzike nk,suala kusahau kiswahili hiyo ni ulimbukeni,lkn pia big up kwake kiingereza mle ndani katuwakilisha poa sana na dogo nando.
ukikubali kushiriki BBA kubali yote,km hutaki angalia mengine.
Unakeketwa wewe na misumari niwaze kwenda kwenye upumbavu kama ule?