Supastaa Feza kessy miezi mitatu kasahau kiswahili sh!t

Supastaa Feza kessy miezi mitatu kasahau kiswahili sh!t

anadhani BBA ndo kila kitu?
Ashatoka sasa tuone ataishi na yule jamaa yake au ndo amerudi Bongo kutafuta umaarufu wa ghafula kama alivyoupata yule wa kwanza aka Mr Ze End Mwam-cotton?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
FEZAKIVAZI1.png
 
anadhani BBA ndo kila kitu?
Ashatoka sasa tuone ataishi na yule jamaa yake au ndo amerudi Bongo kutafuta umaarufu wa ghafula kama alivyoupata yule wa kwanza aka Mr Ze End Mwam-cotton?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

jamani jf hata nikiwa na njaa na shiba, koiyo mr end mwamkoton uwapi nöwdys?
 
Supastaa wa mchezo wa kifanyana matuzi kwenye tv Feza Kessy anasema kasahau kiswahili kwa kukaa miezi mitatu kwenye danguro la BBA.


Upuuzi mtupu ni sawa na baharia mmoja alirudi baada ya kukaa siku nyingi baharini akaja na muondoko wa kunesa nesa baba yake anamuuliza kwanini anatembea kwa kuneza nesa jamaa akamwambia babake kuwa kwa kuwa alikaa sana baharini.
Baba yake akamwambia aache upumbavu mbona yeye hatembei kwa kupush kiuno mbele wakati kamuoa mama yake miaka 30 sasa

Kweli nimecheka sana jinsi ulivoelezea na huo mfano wa baba mtu na BBA -Danguro
 
Last edited by a moderator:
Supastaa wa mchezo wa kifanyana matuzi kwenye tv Feza Kessy anasema kasahau kiswahili kwa kukaa miezi mitatu kwenye danguro la BBA.


Upuuzi mtupu ni sawa na baharia mmoja alirudi baada ya kukaa siku nyingi baharini akaja na muondoko wa kunesa nesa baba yake anamuuliza kwanini anatembea kwa kuneza nesa jamaa akamwambia babake kuwa kwa kuwa alikaa sana baharini.
Baba yake akamwambia aache upumbavu mbona yeye hatembei kwa kupush kiuno mbele wakati kamuoa mama yake miaka 30 sasa


Mkuu, huyu kasema hajaongea kiswahili kwa takriban miezi mitatu, na ameki-miss sana kiswahili. Hajasema amesahau kiswahili. Na alivyokuwa anahojiwa ameongea kiswahili mwanzo hadi mwisho, sasa hizo tuhuma za yeye kusahau kiswahili mmezitoa wapi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom