Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
😂😂 wahedYa transformer yanaweza kua poa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 wahedYa transformer yanaweza kua poa.
weuzi waake unakaa kwenye nyewe muda mrefu tofauti na izo za buku bukuhii tube ni nzur? nywele zinakuwa nyeusi au
na siku izi tunavo ogopa washirikina asee tunakukimbiaNdo nachotaka..🤣
So mimi sasana siku izi tunavo ogopa washirikina asee tunakukimbia
Ziachwe nywele ziwe kama zinavyotakaHabari za muda huu.
Nakuja streatup kwenye mada hivi wazee wezangu mnawezaje kumaintain super black kichwani? Maana mimi kila nikipaka wiki 2 simalizi tayar ishapotea au nitumie nini wakuu ukiachana na super black.
[emoji102][emoji848][emoji102]Apake ndio anyoe mkuu.
Zamani mtu alikua anafunua chupi anakutana na tako Ila siku hizi mtu anafunua tako anakutana na chupi-Bikini.
Kwakweli!!!!!Mmefika mbali Sasa hili gari mi naishia hapa...[emoji23]
achana nayo tu hii, mimi nimeachana nayo kabisaHabari za muda huu.
Nakuja streatup kwenye mada hivi wazee wezangu mnawezaje kumaintain super black kichwani? Maana mimi kila nikipaka wiki 2 simalizi tayar ishapotea au nitumie nini wakuu ukiachana na super black.
Pakaa lamiHabari za muda huu.
Nakuja streatup kwenye mada hivi wazee wezangu mnawezaje kumaintain super black kichwani? Maana mimi kila nikipaka wiki 2 simalizi tayar ishapotea au nitumie nini wakuu ukiachana na super black.
amin mkuu ngoj nivunge tuachana nayo tu hii, mimi nimeachana nayo kabisa
sitaki hata kuisikia nilitaka kuonekana kijana sikumoja,
nakumbuka hio siku jioni yake kulikua na sherehe
nikataka kwenda kumuimpress mtoto, nilifanikiwa
maana nilipata masifa kama yote, kilichotokea usiku
daaah! yaani niliamka asubuhi pembezoni mwa shuka kote
na foronya yangu zimekua nyeusiii
Huwa unaziosha na nini nywele zako?Habari za muda huu.
Nakuja streatup kwenye mada hivi wazee wezangu mnawezaje kumaintain super black kichwani? Maana mimi kila nikipaka wiki 2 simalizi tayar ishapotea au nitumie nini wakuu ukiachana na super black.
Anaekupaka na kukuosha ndo anaharibu.....Habari za muda huu.
Nakuja streatup kwenye mada hivi wazee wezangu mnawezaje kumaintain super black kichwani? Maana mimi kila nikipaka wiki 2 simalizi tayar ishapotea au nitumie nini wakuu ukiachana na super black.
Habari za muda huu.
Nakuja streatup kwenye mada hivi wazee wezangu mnawezaje kumaintain super black kichwani? Maana mimi kila nikipaka wiki 2 simalizi tayar ishapotea au nitumie nini wakuu ukiachana na super black.