Super Bowl LVIII

Super Bowl LVIII

Nahuzunuka timu ninayoishabikia (Baltimore Ravens) imetolewa. Kwa sababu tumetolewa na Kansas City Chiefs, nitakuwa naishabikia San Francisco 49ers kushinda Lombardi trophy lol.
Ninaishi Marekani toka 1996. Hata kama hushabikii American football, hii mechi haiepukiki (kuanzia wiki moja kabla ya mechi). Hata news channels zinaizungumzia. Wamarekani zaidi milioni 100 kwa wastani wanaiangalia mechi. Kwahio hata kama timu yako imetolewa, huna ujanja, lazima uiangalie. Wasio wapenzi sana wa mchezo wanafuatilia kutokana na halftime show ambayo wanamuziki mashuhuri hutumbuiza (kwa mwaka huu ni Usher).
Kiufupi, nimeipenda Ravens kwa sababu hizi. Nilikuwa siujui kabisa huu mchezo kabla sijahamia. Baada ya miaka michache, nikaanza kuufuatilia. Nikawa naangalia hususani wakati defensive players kama linebackers na centers wanapowagonga (tackle) kwa nguvu wachezaji. Wakati huo Ravens ndio wanawasajili akina Ray Lewis na Ed Reed. Hawa ni kati ya wachezaji bora wa ulinzi kuwahi kucheza. Wakati huo, hamna sheria za kumlinda mchezaji. Na akina Ray Lewis walikuwa hawana masihara na ku tackle. Ndio mapenzi yangu na Ravens yalipoanza na ni mshabiki mpaka leo. Wanajulikana sana kwa defense, ilihali miaka ya hivi karibuni offense yao imekuwa nzuri pia kutokana na Lamar Jackson. Hopefully, we shall go all the way next season.
Go Ravens!!!
🤣🤣

Man, what happened to your Ravens?

They saw Patrick Mahomes and they froze!

And it’s not like the chiefs played super well.

They only scored 17 points. All in the first half. In the second half they didn’t score anything. And you still lost the game. What a letdown.

Lamar Jackson just ain’t that dude. The Ravens will never win the chip with him.
 
San Francisco 49ers nlijikuta nawapenda hawa jamaa kitambo bi mkubwa wangu alininunulia t-shirt yenye logo yao pia Chicago bulls hadi leo ni die hard fan wao
 
Mi am waiting fo Asha Reymondi pafomansi onili

I kno nothingi about Marekani futiboli
 
Nahuzunuka timu ninayoishabikia (Baltimore Ravens) imetolewa. Kwa sababu tumetolewa na Kansas City Chiefs, nitakuwa naishabikia San Francisco 49ers kushinda Lombardi trophy lol.
Ninaishi Marekani toka 1996. Hata kama hushabikii American football, hii mechi haiepukiki (kuanzia wiki moja kabla ya mechi). Hata news channels zinaizungumzia. Wamarekani zaidi milioni 100 kwa wastani wanaiangalia mechi. Kwahio hata kama timu yako imetolewa, huna ujanja, lazima uiangalie. Wasio wapenzi sana wa mchezo wanafuatilia kutokana na halftime show ambayo wanamuziki mashuhuri hutumbuiza (kwa mwaka huu ni Usher).
Kiufupi, nimeipenda Ravens kwa sababu hizi. Nilikuwa siujui kabisa huu mchezo kabla sijahamia. Baada ya miaka michache, nikaanza kuufuatilia. Nikawa naangalia hususani wakati defensive players kama linebackers na centers wanapowagonga (tackle) kwa nguvu wachezaji. Wakati huo Ravens ndio wanawasajili akina Ray Lewis na Ed Reed. Hawa ni kati ya wachezaji bora wa ulinzi kuwahi kucheza. Wakati huo, hamna sheria za kumlinda mchezaji. Na akina Ray Lewis walikuwa hawana masihara na ku tackle. Ndio mapenzi yangu na Ravens yalipoanza na ni mshabiki mpaka leo. Wanajulikana sana kwa defense, ilihali miaka ya hivi karibuni offense yao imekuwa nzuri pia kutokana na Lamar Jackson. Hopefully, we shall go all the way next season.
Go Ravens!!!
Ni lini hii fainali mnayoongelea, nahitaj kujifunza kupenda kitu kipya niko konki na mpira, mieleka na movies.
 
🤣🤣

Man, what happened to your Ravens?

They saw Patrick Mahomes and they froze!

And it’s not like the chiefs played super well.

They only scored 17 points. All in the first half. In the second half they didn’t score anything. And you still lost the game. What a letdown.

Lamar Jackson just ain’t that dude. The Ravens will never win the chip with him.
We abandoned what worked well throughout the season, which is a well-balanced offense (running and passing game).
Our defense was very poor against the Chiefs. We got punched by early Chiefs plays and never full recovered.
If we can keep our defense intact for the next few seasons, I think we can go all the way.
 
View attachment 2895994

All my NFL heads [not that many in here], it’s about that time.

It’s going down this Sunday, Las Vegas, Nevada baby.

So who y’all got? Bang bang Niner gang or the Chiefs?

Drop your comments down below and let us know who you’re rooting for.

Sunday couldn’t get here soon enough.

Then I’ll be depressed for the next 7 months 😀.
Chiefs by nature.......
Champions by choice......
Alrighty then! We shall find out come Sunday night.
Screenshot_20240212-160918.jpg

Anybody here?
 
I was really hoping the 49s would win last night.

I can't stand KC.
 
Oh pole,you can't be putting hopes of victory on the all time champs,it ain't gonna fly like that
The game was very close and going back and forth. The Chiefs won in the last 3 seconds of the game. In overtime.

Kinda luck of the draw.

Even as a win is a win.
 
The game was very close and going back and forth. The Chiefs won in the last 3 seconds of the game. In overtime.

Kinda luck of the draw.

Even as a win is a win.
It's all about strategy .
 
It's all about strategy .

When Mike Tyson was asked by a reporter whether he was worried about Evander Holyfield and his fight plan he answered; “Everyone has a plan until they get punched in the mouth.” What Tyson said is similar to the old saying “no plan survives first contact with the enemy”.

 
Back
Top Bottom