Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Moja ya sababu kubwa inayofanya timu za ndani kung'ang'ania kushika nafasi za juu ni kucheza mashindano ya kimataifa. Sasa leo CAF wamekuja na mashindono makubwa yanayohusisha timu kutokana na points zao za CAF. Matokeo yake timu inaweza kuwa ya mwisho kwenye ligi yao lakini inaweza kushiriki AFL sabau ina points nyingi za CAF. Hii imekuja kupunguza ushindani wa ligi za ndani na kuharibu ligi zetu.