Super model wa darling hair afariki dunia

Super model wa darling hair afariki dunia

so kutumiwa picha akiwa mochwari unaona sifa???......daahh kweli shule muhimu jamani......nawaonea huruma wazazi na walimu wako

Wewe mpuuzi nini?kwani umeskia nataka sifa?nimekupa wewe hayo maelezo?nimemueleza best angu geniveros vizuri manake alipewa wrong information...
Nikuulize unanijua mimi?wewe hiyo elimu yako inanisaidia nini?
Usiniletee stress zako za maisha hapa
 
Wewe mpuuzi nini?kwani umeskia nataka sifa?nimekupa wewe hayo maelezo?nimemueleza best angu geniveros vizuri manake alipewa wrong information...
Nikuulize unanijua mimi?wewe hiyo elimu yako inanisaidia nini?
Usiniletee stress zako za maisha hapa

Makavu live hayaaa
 
Yani nimekasirika wewe acha tu Dina...kweli sasa naanza kumuelewa warumi kwa nini anapataga ban kila mara mijitu mingine sijui ikoje

Usipowazoeaa utakula ban kila siku
 
Wewe mpuuzi nini?kwani umeskia nataka sifa?nimekupa wewe hayo maelezo?nimemueleza best angu geniveros vizuri manake alipewa wrong information...
Nikuulize unanijua mimi?wewe hiyo elimu yako inanisaidia nini?
Usiniletee stress zako za maisha hapa
we tukana tukana nikureport kwa mods...all in all...sifa zakijinga hizo acha.....n kaa ukijua hunijui sikujui ni vizuri tukaheshimiana
 
hivi hilo gari ndo kama haya haya tunayooanaga watu wakimiliki wanajiona wafalme au.....poleni wafiwa...ila ilo gari lilivyoharibika...nashindwa kuamini ndo moja kati ya vitu vinavyowapa watu uwehu
 
Back
Top Bottom