View attachment 141130Siandiki kwa maslahi yoyote zaidi ya kuwa mdau wa usafiri hasa kanda ya ziwa na nimeshasafiri mara mbili na basi la Super Sami na kushuhudia jinsi huduma zake zilivyo mbovu
- Ukienda kufanya Booking wanakuambia nauli ni 50,000/= ilihali ukikata kwenye basi ni shs 45,000/=
- Hii ndio iliyonikera zaidi kwani wanakatisha siti moja mara mbili na nimekuwa mhanga mm mwenyewe na abiria kadhaa niliosafiri nao safari ya mwisho
- wanakuambia ni Luxury lakn ndani mh.................
- wahudumu wao hawana customer care kabisa
- acheni kuchimba dawa popote mnapoona na kutupa taka hovyo ili hali mnajiita LUXURY Bus, picha ni ushahidi
Anayekuambia anakutakia heri, kama wahusika wakuu mtaiona hii emai tafadhali mjirekebishe, yalikuwepo mabasi mengi tu mazuri na hayapo sasa,