Super star singer mr. Nice apatiwa kipondo cha mbwa live!

Super star singer mr. Nice apatiwa kipondo cha mbwa live!

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Ooh! Noo! Mwanzilishi wa staili ya Takeu kwenye Bongo Fleva, Nice Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ amebondwa kwa mara nyingine na kusababishiwa majeraha makubwa mwilini, Ijumaa Wikienda
 
Amepigwa na jamaa wawili ambao walikua na demu wao wanakunywa bar mr nice akawa anammendea yule demu washikaji wakastukia ndo walipompa kichapo hevi mpaka akazimia nakupelekwa mwananyamala hospital
 
Kumbe alikua anamendea muke ya watu,Ashukuru mungu hawakumla :lock1::lock1::lock1: ,mana hili jiji lina balaa,
 
Hivi jamaa bado yuko na zile kuku kapanda baiskeli au imekuaje tena!
Wake za watu ni sumu!
 
Amepigwa na jamaa wawili ambao walikua na demu wao wanakunywa bar mr nice akawa anammendea yule demu washikaji wakastukia ndo walipompa kichapo hevi mpaka akazimia nakupelekwa mwananyamala hospital

Uyu jamaa hakomi hajui kama anaweza kudedishwa chezeya demu wa mtu
 
Uyu haitaji ajali kumpeleka mbele za haki atafia mikononi mwa wanaojua kutoa kipondo hata ugonjwa hauna muda na yeye ataondoka na majeraha kadhaa khaaaa uyu ni bingwa wa kupigika
 
Kwahiyo kumbe Dudubaya allikua akosei alivokuwa anampga vitasa ?
 
Hivi jamaa bado yuko na zile kuku kapanda baiskeli au imekuaje tena!
Wake za watu ni sumu!

Kitale anakwambia kama mke wa mtu sumu,anamuomba akalale nae yeye kwake kuna panya.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Ivi mr nice nae ni supar star siku hizi
 
Back
Top Bottom