Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
hapana huyo atakuwa kachanganya na mmu...sijawahi kuingia huko
na mie nimehisi kachanganya madesa.....
Niwie radhi wangu, mchina wangu ananizingua. Mie niko poa sana tu. ''Naona meno thelathini na nje yote mbili'' kwa li team lako na Watu8 kuongoza ligi. Siku njema.kandukamo1 mambo vipi
roho imeniuma sana kuwakosa leo kwenye ground yenu,karibu mbeya mkuu