Super Thursday: Azam Fc vs Mbeya City Fc

hawa wadogo zangu wa nyumbani wanachonifurahisha na kunishangaza hasa wakiwa ugenini wanapotangulia kufungwa wao ndio wanakuwa mbogo zaidi, ni bora msiwafunge mapema mnaweza kutoa nao angalau droo, Azam amenyea kambi leo:tape::tape:

wewe hapa ni mpira tu na dk 90 ndio mwamuzi tunakuja kumaliza kazi tu..

forza azam fc..
 
Huku dodoma nako mkuu anazungumzia inshu nzima ya suala la afrika mashariki!

...mkuu JK kamalizia kuzungumzia TEMBO "KUWA WANAANGAMIA"
...na sasa anaongelea kuhusu DRC.

Tunashukuru wadau wote mliko viwanjani, "Asate sana kwa UPDATES"
 
myhem; Ile ya Yanga ni mechi ndogo kwani wewe hujui Mkuu?
 
Last edited by a moderator:
wewe hapa ni mpira tu na dk 90 ndio mwamuzi tunakuja kumaliza kazi tu..

forza azam fc..
mkuu ndetichia nadhani hujawahi kuwaona live hawa watoto ndio maana umekuwa na moyo wa chuma kutowaamini hao watoto, naomba mpira ukiisha usikimbie jukwaa hili
 
mabadiliko yanafanyika kwa timu zote mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…