Super Thursday: Azam Fc vs Mbeya City Fc

Super Thursday: Azam Fc vs Mbeya City Fc

kumbe na wewe upo huku, nilishazoea kukukuta jukwaa la wakubwa na mapenzi, vipi unawaonaje mbeya city ?

Mkuu mimi ni mdau mkubwa wa JF Lounge yote hivyo hata huku nipo sana tu...

Mbeya City ni wazuri sana kwa kuwa wanacheza jihad na kwa kiwango kile kile kuanzia mwanzo hadi mwisho...
 
Azam wansawazisha hapa,ngoma bbado mbichi
 
Back
Top Bottom