Super Thursday: Azam Fc vs Mbeya City Fc

Super Thursday: Azam Fc vs Mbeya City Fc

kuna mtu katabiri kuwa game itaisha 2-2. huyo jamaa lazima atakuwa ni ukoo wa shehe yahaya

Kwani mpira umeisha? Haya matokeo sio mazuri haya majamaa ya jangwani yatarudi kileleni, huku mtaani hakutakalika.
 
Nasikia mkoa wa mbeya wameongoza bei ya bidhaa kati ya tsh 50-100 ambayo inaenda kuisapoti timu,vip kuna ukweli kwa hili
 
Back
Top Bottom