Superbrand Afrika Mashariki mnakwama wapi?

Joined
Jan 14, 2020
Posts
19
Reaction score
42
Kwanza kabisa kale kameza pale kuna siku mtu ataanguka mbele ya kamera namaanisha chumba cha kusomea habari ni kidogo geto langu kubwa Yaana hata kuna baadhi ya sebule za watu wa kawaida zinawazidi kwa ubora chumba cha kusomea habari sijui kina miaka mingapi hakibadilishwi muonekano.

Cha mwisho, boresheni vifaa vyenu imeshatokea zaidi ya mara mbili naangalia habari usiku saa mbili mitambo inazingua nikihama channel nyingine nakuta mambo yako poa.

Tunawapenda ila jiongezeni muwe na chumba hata kama cha BBC Swahili.
 
farhia middle atalifanyia kazi mana naye panambana anashindwa kujiachia vizuri
 
Mkuu sio mara mbili ni wazi Itv mitambo yao huenda ni chakavu mara nyingi tu mimi mwenyewe nmeshuhudia TV inaganda tu mfano jana mara baada ya marudio ya UZALO tv ilibaki imeganda na maandishi ya uzalo karibu dk20 nzima hebu mjiheshimu kidogo wazee wa supabrandi
 
ITV used to be a superbrand, but not anymore.
 
Afu Mimi nashindwaga kuelewa ivi logic ya kuazia kutangaza muhstar akiwa mbele ya kiti akiwa amesimama then anaaza ku move kwenda kwenye kiti hii maana yake nini? watangazaj wengine wakike hawana mizigo nyuma wako flat hii haijakaa poa ata least kidogo Farhia middle ana mzigo angalau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…