Superman son is bisexual

Superman son is bisexual

hata kwa akili za kawaida maana binadamu tumeumba kutambua,mwanaume unampapasa mwanaume mwenzako tena unamuingizia limtambo unayapekecha mavi yake,hata hisia za uwanaume huisi chochote kumfanyia mtu mwenye jinsia sawa na yako hivyo ni kumzalilisha?mkumbo ni sehemu ya mavi kupita sio shimo la starehe kwa mwingine,
Okay hapa kidogo umejaribu kujibu...okay Sawa lakini
1.kumbuka hapohapo Dar Na Zanzibar Ni kitu cha kawaida au cha fahari mwanaume Kula Tigo ya mwanamke...Kuna tofauti Gani Kati ya Tigo ya mwanaume Na mwanamke?
2.unasema sio shimo la starehe kwani kibaiolojia Kuna mishipa mingi ya starehe eneo Hilo?
3.Unaposema Kwa akili ya kawaida haimake sense hiyo akili ya kawaida ndo ipi?inapimwaje? Mbona Kwa akili ya kawaida haimake sense Kuna kifaa mtu unaweza panda kikapaa hewani kikavuka Bahari Na kukufikisha ulaya ndani ya siku moja
 
1,kila binadamu kaumbwa na uelewa wa kutambua baya na jema
2,dume kwa jike,sio dume kwa dume
Unaposema "Kila mwanadamu kaumbwa hivo" una statistics Za kukutetea??kwakuwa wewe umeumbwa hivyo haimaanishi Kila mtu yuko hivo.
Pili Morality Ni objective..Jambo linaweza Kuwa Baya Kwa jamii Fulani likawa jema Kwa jamii nyingine mfano Kula ng'ombe wahindi kwao Ni dhambi...
Kuna jamii zinakula watu Na Ni Jambo jema kwao.
 
Okay hapa kidogo umejaribu kujibu...okay Sawa lakini
1.kumbuka hapohapo Dar Na Zanzibar Ni kitu cha kawaida au cha fahari mwanaume Kula Tigo ya mwanamke...Kuna tofauti Gani Kati ya Tigo ya mwanaume Na mwanamke?
2.unasema sio shimo la starehe kwani kibaiolojia Kuna mishipa mingi ya starehe eneo Hilo?
3.Unaposema Kwa akili ya kawaida haimake sense hiyo akili ya kawaida ndo ipi?inapimwaje? Mbona Kwa akili ya kawaida haimake sense Kuna kifaa mtu unaweza panda kikapaa hewani kikavuka Bahari Na kukufikisha ulaya ndani ya siku
mtu anawezakuzaliwa na msukumo juu ya ushoga,kama mtu mwingine anapozaliwa na tabia ya kuwa na hasira mbaya,je ni haki mtu huyu kuendelea na tabia za kuwa na hasira?laa hasha basi pia ushoga sio sawa kuendeleza
 
mtu anawezakuzaliwa na msukumo juu ya ushoga,kama mtu mwingine anapozaliwa na tabia ya kuwa na hasira mbaya,je ni haki mtu huyu kuendelea na tabia za kuwa na hasira?laa hasha basi pia ushoga sio sawa kuende
 
research ya nini wakati dhahiri ukizoea kutenda dhambi ndogo utajikuta unatenda dhambi kubwa maana roho ya kutenda dhambi ishakutafuna
Dhambi ni mambo ya Dini Na Kuna Dini Zaidi ya 5000 duniani kwahyo wewe kuzoea Kula ng'ombe tusiite Ni dhambi kisa Dini ya wahindi inasema hivo
 
mtu anawezakuzaliwa na msukumo juu ya ushoga,kama mtu mwingine anapozaliwa na tabia ya kuwa na hasira mbaya,je ni haki mtu huyu kuendelea na tabia za kuwa na hasira?laa hasha basi pia ushoga sio sawa kuendeleza
Unaposema "Kila mwanadamu kaumbwa hivo" una statistics Za kukutetea??kwakuwa wewe umeumbwa hivyo haimaanishi Kila mtu yuko hivo.
Pili Morality Ni objective..Jambo linaweza Kuwa Baya Kwa jamii Fulani likawa jema Kwa jamii nyingine mfano Kula ng'ombe wahindi kwao Ni dhambi...
Kuna jamii zinakula watu Na Ni Jambo jema kwao.
hahaha kwani mungu kukuumba mwanaume ili ugae taarabu
 
mtu anawezakuzaliwa na msukumo juu ya ushoga,kama mtu mwingine anapozaliwa na tabia ya kuwa na hasira mbaya,je ni haki mtu huyu kuendelea na tabia za kuwa na hasira?laa hasha basi pia ushoga sio sawa kuendeleza
Mtu huyohuyo pia anaweza kuzaliwa na msukumo juu ya uongozi,kama mtu mwingine anapozaliwa na tabia ya kuwa na hasira mbaya,je ni haki mtu huyu kuendelea na tabia za kuwa na hasira mbaya?laa hasha basi pia uongozi sio sawa kuendeleza
 
Tusimsingizie Mungu au shetani kwenye Huu Uzi...tupambane kama wanaume
sasa unaposema tupambane kama wanaume lengo lako ni kuchochea ushoga sio?maana itafika siku utaambiwa yesu karudi bado kuna watu watasema yesu bado hajarudi
 
Mtu huyohuyo pia anaweza kuzaliwa na msukumo juu ya uongozi,kama mtu mwingine anapozaliwa na tabia ya kuwa na hasira mbaya,je ni haki mtu huyu kuendelea na tabia za kuwa na hasira mbaya?laa hasha basi pia uongozi sio sawa kuendeleza
hilo ni jambo la uongozi sio la kuf--- ujue
 
sasa unaposema tupambane kama wanaume lengo lako ni kuchochea ushoga sio?maana itafika siku utaambiwa yesu karudi bado kuna watu watasema yesu bado hajarudi
Mimi sijaweka wazi lengo langu...okay tuseme wewe unaunda timu ya kupambana Na ushoga...Mimi nataka kujiunga na timu yako nakuomba unipe sababu Za kwanini nijiunge Na timu yako lakini usiniambie sababu Za kidini kwakuwa wapinzani wako hawaamini Hayo....wewe utatoa sababu zipi?
 
Dhambi ni mambo ya Dini Na Kuna Dini Zaidi ya 5000 duniani kwahyo wewe kuzoea Kula ng'ombe tusiite Ni dhambi kisa Dini ya wahindi inasema hivo
mtu yeyote anayechochea dhambi itendeke basi pia yeye ni mshirika wa hiyo dhambi tusifke hukoo
 
mtu yeyote anayechochea dhambi itendeke basi pia yeye ni mshirika wa hiyo dhambi tusifke hukoo
Mimi sichochei dhambi yoyote by the way.
Ni Sawa Na kukuta Kikundi cha chadema halafu ukawauliza wakutajie sababu Lissu anafaa Kuwa Raisi bila kuitaja/kukosoa CCM..... ukiuliza Hilo swali haimaanishi unawapinga chadema, unaweza Kuwa unasubiri Jibu Zuri ili ujiunge nao.. kwasababu kabla ya kujiunga/ kupinga kitu lazima uwe Na sababu Za msingi sio sababu objective kama Dini.
 
Mimi sichochei dhambi yoyote by the way.
Ni Sawa Na kukuta Kikundi cha chadema halafu ukawauliza wakutajie sababu Lissu anafaa Kuwa Raisi bila kuitaja/kukosoa CCM..... ukiuliza Hilo swali haimaanishi unawapinga chadema, unaweza Kuwa unasubiri Jibu Zuri ili ujiunge nao.. kwasababu kabla ya kujiunga/ kupinga kitu lazima uwe Na sababu Za msingi sio sababu objective kama Dini.
sababu za kuwa mwanaume ili kuongeza uzao duniani sasa hauoni ni vibaya kukwepa majukumu yako
 
sababu za kuwa mwanaume ili kuongeza uzao duniani sasa hauoni ni vibaya kukwepa majukumu yako
Hizi sababu umezitoa wapi?Kuna sehemu kwenye mwili wa mwanaume imeandikwa lazima uzalishe??
Lakini saivi mbona nchi nyingi zinahangaika Na overpopulation ikiwemo Tanzania?
 
Mimi Ninajua tofauti ya hivo vitu kimaana Mimi nimeuliza tofauti yake kimaadili...Ni kitu Gani kinatumika kusema uongozi Ni mzuri Na ushoga Ni mbaya??(Usinitajie dini)

Mfano wizi Ni mbaya kwakuwa unaleta upotevu wa Mali Za watu Na kurudhisha nyuma maendeleo..hiyo Ni sababu ya kupinga wizi isiyokuwa ya kidini.
Nawewe naomba ya hivo inayopinga ushoga
napinga ushoga kwa sababu inakwenda kinyume na lengo la mungu,napo zungumzia mungu siusishi dini maana mungu ndo aliyeiumba hii dunia,na dini imekuja baada ya dunia kuumbwa
 
Back
Top Bottom