Supermarket mpya yafunguliwa Mjini Tanga

Supermarket mpya yafunguliwa Mjini Tanga

Vodosky

Senior Member
Joined
Apr 6, 2016
Posts
155
Reaction score
134
Haya wale nduguzangu wa tanga...

Kuanzia jana mjini Tanga kuna supermarket mpya imefunguliwa inaitwa Mkwabi.

NASACO Building, Independence Avenue

M excited sababu bwana mambo ya kwetu maduka yafunguliwa late na kufungwa early but now atleast ukiwa tanga una uhakika wakupata huduma ya vyakula mpaka saa 4 hadi 6 usiku!

Big up!

104d6ec1681506b1faa5311f9f6dcfb4.jpg
 
Bg up kwao wamewarahisishia wana tanga
 
hilo ni jambo zuri sana kwasababu jiji la Tanga limekuwa halina supermarket kubwa, nzuri na ya kisasa. bila shaka hiyo supermarket inakwenda kuleta mabadiliko.
 
hilo ni jambo zuri sana kwasababu jiji la Tanga limekuwa halina supermarket kubwa, nzuri na ya kisasa. bila shaka hiyo supermarket inakwenda kuleta mabadiliko.
natumai hivyo.... inabidi kutangaza wenyeji waone hamna tofauti sana maana niliona vijana wanaogopa kuingia wakidhani bei ni kubwa....mmoja akajitolea kujaribu baada kuambiwa hakuna tofauti...kweli akakuta maji ya chupa sawa na dukani kwengine...
 
SaaLaaleeh!! bora nanyi nao muonekane mmeendekea...!!
Supa zote zimeishia Dar!!!
 
Bora ufanye biashara bwana mkwabi......mpira pasua kichwa!!!
 
panaitwa nasako. pametazamana na jengo la bandari
Hapajatazamana iko pembeni yaani ubavuni

Hivi Tanga mpaka leo walikuwa wanategemea supermarket ipi sasa?
Zamzam?

Hapo kwa hlo jengo kulikuwa na bar moja inaitwa meridian sijui iliishia wapi miaka ileeeee
 
Haya wale nduguzangu wa tanga...

Kuanzia jana mjini Tanga kuna supermarket mpya imefunguliwa inaitwa Mkwabi.

NASACO Building, Independence Avenue

M excited sababu bwana mambo ya kwetu maduka yafunguliwa late na kufungwa early but now atleast ukiwa tanga una uhakika wakupata huduma ya vyakula mpaka saa 4 hadi 6 usiku!

Big up!

104d6ec1681506b1faa5311f9f6dcfb4.jpg
Big Up Swedy Hamisi Fikirini Mkwabi kwa hii milestone. Mungu akusimamie ufanye zaidi
 
hiyo ndo supermarket ya kwanza tanga. sijawahi kuona nyingine asee
 
Hapajatazamana iko pembeni yaani ubavuni

Hivi Tanga mpaka leo walikuwa wanategemea supermarket ipi sasa?
Zamzam?

Hapo kwa hlo jengo kulikuwa na bar moja inaitwa meridian sijui iliishia wapi miaka ileeeee
kila kinachoanzishwa mara nyingi hakidumu sijui ni kwanini. maduka ni yale yale na biashara ni zile zile. yani mpaka biashara yako izoeleke inachukua muda sana
 
Hapajatazamana iko pembeni yaani ubavuni

Hivi Tanga mpaka leo walikuwa wanategemea supermarket ipi sasa?
Zamzam?

Hapo kwa hlo jengo kulikuwa na bar moja inaitwa meridian sijui iliishia wapi miaka ileeeee
Aaah kumbe ni lile jengo la meridian wamefanya vizur
 
kila kinachoanzishwa mara nyingi hakidumu sijui ni kwanini. maduka ni yale yale na biashara ni zile zile. yani mpaka biashara yako izoeleke inachukua muda sana
Tatizo Tanga Mzunguko wa fedha upo chini sana. Chukua eneo moja la Usariver Arusha linaweza kuwa na vitu vya maana zaidi ya Tanga city na n kiwilaya tu.
 
Back
Top Bottom