Tatizo Tanga Mzunguko wa fedha upo chini sana. Chukua eneo moja la Usariver Arusha linaweza kuwa na vitu vya maana zaidi ya Tanga city na n kiwilaya tu.
na nyie watu Wa Tanga mnatia aibu,kwa hiyo super market ni kitu poa cha kuweka tangazo hapa,tanga kama hili weka kwenye mbao za matango stand tanga huko,unajaza server za watu bure.