Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Siyo kugombea tu bali nitagombea na kuapishwa kuwa mbunge wa KyelaWewe utagombea Jimbo gani? Kamanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kugombea tu bali nitagombea na kuapishwa kuwa mbunge wa KyelaWewe utagombea Jimbo gani? Kamanda
Taifa ni nini na Demokrasio ni nini ?Kuruhusu hiki kikundi cha ACT kushiriki Uchaguzi Mkuu hapo October ni udhaifu wa Ofisi ya Msajili
Taifa kwanza Demokrasia baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp mali za chama umesharudisha??Mimi Suphian Juma natangaza NIA ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi kupitia Chama cha ACT wazalendo. Singida Magharibi nitawatanguliza ninyi na Taifa langu mbele daima.
Ewe Mwenyezi Mungu NISAIDIE!!View attachment 1441253
Ndaga nkamuSiyo kugombea tu bali nitagombea na kuapishwa kuwa mbunge wa Kyela
Unabaraka za Ayatollah Zitto Zuberi Kabwe & Sultan Seif Sharif Hamad?!?
Hongera sana Mungu akupe nguvuMimi Suphian Juma natangaza NIA ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi kupitia Chama cha ACT wazalendo. Singida Magharibi nitawatanguliza ninyi na Taifa langu mbele daima.
Ewe Mwenyezi Mungu NISAIDIE!!View attachment 1441253
Unakatisha vijana tamaa mkuu mpe moyo! Tunahitaji damu changa na mawazo mbadalaHalafu ukijana sana, unafanya nini kwenye hicho chama cha waduanzi wabomoa nchi (zito, seif, jussa, duni, mazrui)