The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Video: Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Suphian Nkuwi akiwanadi wagombea wa serikali za mitaa kupitia CCM Kitongoji cha Ikungi, Novemba 23, 2024.
Suphian Nkuwi amesema CHADEMA imebarikiwa maneno matupu lakini CCM imebarikia Maji, umeme, barabara, afya, elimu bora.
Soma Pia:
Suphian Nkuwi amesema CHADEMA imebarikiwa maneno matupu lakini CCM imebarikia Maji, umeme, barabara, afya, elimu bora.
Soma Pia:
- Singida: Wagombea 148 walioenguliwa Ikungi warejeshwa
- Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024