Supplementary kusogezwa mbele udom

Supplementary kusogezwa mbele udom

Kaka mwisho

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
407
Reaction score
178
Uongozi wa chuo kikuu cha dodoma (udom) kipo kwenye mazungumzo na serikali ya wanafunzi ili kiweze kuwasaidia wanafunzi ambao mpaka sasa hajaona matokeo yao nahuku wakitakiwa kufanya supplementary zao tarehe 27 ya mwezi huu. MAAZIMIO WANAFUNZI WOTE WAWASILIANE NA MA CR WAO PAMOJA NA DERPATMENT ZAO. Onyo kukosa supplementary utadisco na chuo hakitahusika kwa namna yoyote. KWA MAELEZO ZAIDI WAWEZA FIKA CHUONI.
 
Uongozi wa chuo kikuu
cha dodoma (udom) kipo kwenye mazungumzo na serikali ya wanafunzi ili
kiweze kuwasaidia wanafunzi ambao mpaka sasa hajaona matokeo yao nahuku
wakitakiwa kufanya supplementary zao tarehe 27 ya mwezi huu. MAAZIMIO
WANAFUNZI WOTE WAWASILIANE NA MA CR WAO PAMOJA NA DERPATMENT ZAO. Onyo
kukosa supplementary utadisco na chuo hakitahusika kwa namna yoyote. KWA
MAELEZO ZAIDI WAWEZA FIKA CHUONI.

uongozi wa chuo unalishughulikia soon litakuwa solved
 
Back
Top Bottom