Support community ya kupambana na addiction kama kujichua, pombe , bangi , kupata marafiki, betting na others NJOO UNIPE MAWAZO YAKO KAMA SIO KUJIUNG

Support community ya kupambana na addiction kama kujichua, pombe , bangi , kupata marafiki, betting na others NJOO UNIPE MAWAZO YAKO KAMA SIO KUJIUNG

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Katika pitapita zangu nimekutana na tovuti ya nofap hii imenipa hamasa sana ukiangalia ukanda mzima huu wa afrika mashariki hakuna tovuti hii kwa jamii yetu

Nimeona niianzishe na teyari nilikua nayo nyingine so nikufuta old post na kuanza upya

Ningependa nipate mtazamo wako hii ni kama forum nyingine tu bali itahusu kupambana na addiction na kujumuika kipindi upo lonely nitaadd na option ya kuhesabu progress ya mda uliokaaa bila kufanya hiyo addiction

Link nitaweka baadae ila nataka kujua nianze na category zipi au kama unataka kuwa moja ya wakandarasi karibu PM

Au mnaonaje wazo langu nakubali kukosolewa hii itakuwa available for freeeee kabisa

Karibuni

N.B mods sijavunja sheria hivyoo sitegemei uzi kufutwa

Usipite bila comment vijana wengi ni waadhirika wa addiction ya hata kunywa soda
 
Nilianza Kujichua mnamo 2016, haikua kwa sana
Mnamo Nov 2020 niliingia kwenye mahusiano,kama ilivyo ada, mahusiano ni sumu
ME akiwa kitega uchumi cha jinsia pinzani kwa mbadilishano wa papuchi

Dec 2020 nikavunja rasmi mahusiano, nikaingia kwenye Nyeto mpaka leo hii
na dosage ni kutwa mara 4 kwa siku, kila siku,
Sijutii hata kiduchu,
 
Mkuu Kama upo serious tuchekiane tu nikuuzie Ui Design ya hio Addiction App Ina features zote zinaO hitajika muonekano mzuri na rahisi kutumiwa

Features
#Adsiction Communities
#Community chats
#Your Progress
#Communitu Members Progress
#Reproductive Health Tips
#NK

Nipe nauri ya JOB tu nishaishiwa hizi tarehe

NB: anayetaka Designing ya wazo lake la Application nivheki PM

Frame 4 (4).png
 
Nilianza Kujichua mnamo 2016, haikua kwa sana
Mnamo Nov 2020 niliingia kwenye mahusiano,kama ilivyo ada, mahusiano ni sumu
ME akiwa kitega uchumi cha jinsia pinzani kwa mbadilishano wa papuchi

Dec 2020 nikavunja rasmi mahusiano, nikaingia kwenye Nyeto mpaka leo hii
na dosage ni kutwa mara 4 kwa siku, kila siku,
Sijutii hata kiduchu,

My advice kwako unajiharibu zaid. Stay off that way. Ni vema ukatafuta mwingine but si hiyo njianunayoniendea
 
Mkuu Kama upo serious tuchekiane tu nikuuzie Ui Design ya hio Addiction App Ina features zote zinaO hitajika muonekano mzuri na rahisi kutumiwa

Features
#Adsiction Communities
#Community chats
#Your Progress
#Communitu Members Progress
#Reproductive Health Tips
#NK

Nipe nauri ya JOB tu nishaishiwa hizi tarehe

NB: anayetaka Designing ya wazo lake la Application nivheki PM

View attachment 2528302
Ahsante mkuu sidevelop from scratch
 
Katika pitapita zangu nimekutana na tovuti ya nofap hii imenipa hamasa sana ukiangalia ukanda mzima huu wa afrika mashariki hakuna tovuti hii kwa jamii yetu

Nimeona niianzishe na teyari nilikua nayo nyingine so nikufuta old post na kuanza upya

Ningependa nipate mtazamo wako hii ni kama forum nyingine tu bali itahusu kupambana na addiction na kujumuika kipindi upo lonely nitaadd na option ya kuhesabu progress ya mda uliokaaa bila kufanya hiyo addiction

Link nitaweka baadae ila nataka kujua nianze na category zipi au kama unataka kuwa moja ya wakandarasi karibu PM

Au mnaonaje wazo langu nakubali kukosolewa hii itakuwa available for freeeee kabisa

Karibuni

N.B mods sijavunja sheria hivyoo sitegemei uzi kufutwa

Usipite bila comment vijana wengi ni waadhirika wa addiction ya hata kunywa soda
Wazo zuri. Iyo community unayotaka kutengeneza itawafikiaje zaidi watu wengi na kuwasaidia?
 
Nilianza Kujichua mnamo 2016, haikua kwa sana
Mnamo Nov 2020 niliingia kwenye mahusiano,kama ilivyo ada, mahusiano ni sumu
ME akiwa kitega uchumi cha jinsia pinzani kwa mbadilishano wa papuchi

Dec 2020 nikavunja rasmi mahusiano, nikaingia kwenye Nyeto mpaka leo hii
na dosage ni kutwa mara 4 kwa siku, kila siku,
Sijutii hata kiduchu,
Duuh mwenyekiti wa chaputa utakua
 
Wazo zuri. Iyo community unayotaka kutengeneza itawafikiaje zaidi watu wengi na kuwasaidia?
Ndio maana nikaanzisha mjadala nipate mawazo hasa ukizingatia sio mtu wa marketing mimi
Me addiction yangu ni kunywa Supu hayo Mapunyeto niliiacha kitambo sana
Hahaha tukipata mwongozo mzuri hiyo ipo tu
Betting umeiweka hapo ki makosa, tafadhali sana iondoe...
Sio addiction kwako ila kwa wengine ni addiction
 
Back
Top Bottom