Baada ya kuona maisha yamemshinda. Kuumbuka kumeshafikia kikomo, wafadhili wameshakata ufazili wao, marafiki wakimkimbia, hana cha kuuza tena, nauli ya kurudi kijijini imemshinda..............
Kamwanda akaamua kutafuta Suport toka kwa mai waifu wake...........
Usiku wamelala akamwambia mkewe: "Mke wangu tutaua watoto na kwashakoo wakati weye u bado kijana na mzuri namna hii?........ Huko mtaani hutongozwi?.........kama watongozwa, nimeridhia wakubalie wakupe hela tusiendelee kuumbuka namna hii............" Mwisho wa kunukuu.
Hii ndiyo Suport Sytem kwa mwanaume mwenye upendo na familia yake.
Anayetaka kujua kilichotokea baada ya hapo, anyooshe kidole juu.