Suprise ndani ya distance love... inafaa?

ahahhahahahah yaani nimecheka sana ...bwana we si wajua we mtoto mzuri its just an example, samahani lakini! u just made the perfect example sijui kwa nini nimehisi hivyo!🙄

Afadhali shishi umesema ni mfano tu kwa Xpin,mwenzio mbona nimeridhika!
 


haya wacha wende upate amehama am yuko safarini duh!!!!!
 
bado sijajijibu kibweka ni kwe nini mtu uamue kufanya suprise kwa mwenzio bila kumpa taarifa??
Ina mvuto zaidi !!? Or

Suprise haifai maana mtu anaweza kujiachia ma w/end na rafiki zake wa kike na wa kiume we ukamkuta nao na yupo chicha ukawaza mengineyo. Sasa mvuto utatoka wapi? Ni bora umuambie ili saa ya kujiachia unakuwa nae
 
hayo ma suprise yana raha na karaha zake, huyo mkaka amejuta mpaka bac...
 
haya wacha wende upate amehama am yuko safarini duh!!!!!

uko sahihi Shishi,sijui itakuwaje na surprise yako na hapo tu-assume umefika usiku umechoka na safari halafu mtu hayupo au amehama,nahisi unaweza kuchanganyikiwa usijue la kufanya.
 
Huku kusini ni marufuku kurudi nyumbani au kumtembelea mpenzi wako bila taarifa. Ukifanya hivyo ukikuta kuna issue au akikuripoti kwa wazee wa jadi unakula fimbo 6 matakoni na onyo juu. Wanaume huku wanaheshimu hiyo mila yao hivyo issue za kufumaniana ni chache.
 
uko sahihi Shishi,sijui itakuwaje na surprise yako na hapo tu-assume umefika usiku umechoka na safari halafu mtu hayupo au amehama,nahisi unaweza kuchanganyikiwa usijue la kufanya.
mtu wako wakaribu atahamaje bila kukutaarifu? labda awe hakupendi au😱
 
mtu wako wakaribu atahamaje bila kukutaarifu? labda awe hakupendi au😱


amehamia nyumba mpya...kanunua nyumba anataka kukusurprise pia wewe!!! jamani wajua kuna kuhama kwa ghafla eti....
 
Kiafrika Suprise ni mambo mageni sana, nadhani si vizuri kufanyiana suprise, ni aheri kutoa taarifa kabla inasaidia zaidi kuliko kufanya suprise.
 

hahaha kwani Xpin na Fidel ni kifimbo cheza
 
Suprise haifai maana mtu anaweza kujiachia ma w/end na rafiki zake wa kike na wa kiume we ukamkuta nao na yupo chicha ukawaza mengineyo. Sasa mvuto utatoka wapi? Ni bora umuambie ili saa ya kujiachia unakuwa nae

ahahaha i prefer information kwanza ..
lakini mie nadhani pia suprise ni kama kipimo cha uaminifu kwa wapenzi eeh?
 
ahahhahahahah yaani nimecheka sana ...bwana we si wajua we mtoto mzuri its just an example, samahani lakini! u just made the perfect example sijui kwa nini nimehisi hivyo!🙄

Tatizo lako unacheka lakini kale kabatani ka thenks hukagongi! You are forgiven darling. By the way how is nrb? Mmeshaanza kufanya sensa ya mashoga (sorry, off point)
 
Tatizo lako unacheka lakini kale kabatani ka thenks hukagongi! You are forgiven darling. By the way how is nrb? Mmeshaanza kufanya sensa ya mashoga (sorry, off point)


haya nishakagonga!!!! na uwache kujipigia debe..... hao mashoga bado nafikri sensus inaendelea sijui wanaifanya kivipi?
 
Actually co mbaya ila inategemea na PENZI lenu likoje,Mapenzi ya siku hz ni hayatabriki, wengine wanapendana koz wanaonana lakn wakiwa mbali kila pipo kivyake, na hadi sasa ni watu wachache sana wenye mpenzi mmoja. Kama hamuamianian kwanini umfanyie suprise? Ila kama mmnaaminiana ni vizuri sana tena sana, kwani jambo la hadi kvshana pete ni hatua nzuri ktk mapenzi
 
haya nishakagonga!!!! na uwache kujipigia debe..... hao mashoga bado nafikri sensus inaendelea sijui wanaifanya kivipi?

Hahaha kwa long distance suprise!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…