Carmel miaka ileeeeeeeee kuna jamaa niliamini ndo roho na mwili wangu ni kama vile mwili bila damu ..one day yes nikatia timu bila taarifa nilisafiri masafa kidogo ,,kufika naingia ndani nakumbana na bi dada kakaa na huyo jamaa wamejilalia na kanga moja t made in India kwenye kochi huku vi picha vyangu nikiwa naye vikiwa vimepambwa ndani sasa sijui alimwambia huyo mdada mie ni nani yake ama House girl ama dadaangu sipati picha
Mlango nilioingilia ndio niliotokea mpaka keshooooooooo najuuuuuuuuta kumfahamu
habari ndo hiyo
Sasa ikawaje tena akaja kukuoa, ulimsamehe?
Carmel miaka ileeeeeeeee kuna jamaa niliamini ndo roho na mwili wangu ni kama vile mwili bila damu ..one day yes nikatia timu bila taarifa nilisafiri masafa kidogo ,,kufika naingia ndani nakumbana na bi dada kakaa na huyo jamaa wamejilalia na kanga moja t made in India kwenye kochi huku vi picha vyangu nikiwa naye vikiwa vimepambwa ndani sasa sijui alimwambia huyo mdada mie ni nani yake ama House girl ama dadaangu sipati picha
Mlango nilioingilia ndio niliotokea mpaka keshooooooooo najuuuuuuuuta kumfahamu
habari ndo hiyo
Carmel miaka ileeeeeeeee kuna jamaa niliamini ndo roho na mwili wangu ni kama vile mwili bila damu ..one day yes nikatia timu bila taarifa nilisafiri masafa kidogo ,,kufika naingia ndani nakumbana na bi dada kakaa na huyo jamaa wamejilalia na kanga moja t made in India kwenye kochi huku vi picha vyangu nikiwa naye vikiwa vimepambwa ndani sasa sijui alimwambia huyo mdada mie ni nani yake ama House girl ama dadaangu sipati picha
Mlango nilioingilia ndio niliotokea mpaka keshooooooooo najuuuuuuuuta kumfahamu
habari ndo hiyo
NA WEWE UNA MASWALI MENGI UTADHANI PAPARAZI KAMA NILIVYOKWAMBIA MLANGO NILIOINGILIA NDO NILIOTOKEA SIJAONANA NAE MPAKA KESHO
KILA SHETANI NA MBUYU WAKE NA MIE NIMETUA KWENYE MBUYU WANGU WA HALALI
uTAJJ🙂
Hahahah! Got you! Kwa hiyo mumeo haku kukuta bikira? My my my my! Yaleyaleeee! Hahahaha! lol!
Hahahah! Got you! Kwa hiyo mumeo haku kukuta bikira? My my my my! Yaleyaleeee! Hahahaha! lol!
Hivi miaka hii bado kuna watu wanatafuta Bikira?
Hahahah! Got you! Kwa hiyo mumeo haku kukuta bikira? My my my my! Yaleyaleeee! Hahahaha! lol!
NA WEWE UNA MASWALI MENGI UTADHANI PAPARAZI KAMA NILIVYOKWAMBIA MLANGO NILIOINGILIA NDO NILIOTOKEA SIJAONANA NAE MPAKA KESHO
KILA SHETANI NA MBUYU WAKE NA MIE NIMETUA KWENYE MBUYU WANGU WA HALALI
uTAJJ🙂
we nawe, wako ulimkuta nayo au yeye alikukuta nayo?
Alituambiaga mme wake ndiye aliyembikiri!
ha ha haaaaaaaaaaaaaa, ukidanganya?.........................
aaaah nyamayao. Ushasahau nlishasemaga sijawahi mkata mwanamke yoyote bikira. Na wala hata sijui inakatwaje. Kwa upande wangu mi nilibikiriwa na sabuni nikiwa form two.
kumbe wewe ni mjanja, unatafuta wenye experience tu. hutaki kufundisha? au sio mwalimu mzuri?
mtu wako wakaribu atahamaje bila kukutaarifu? labda awe hakupendi au😱
Hakuna kitu kibaya katika mahusiano kama kufumaniana, kama kuna uwezekano wa kukwepa fumanizi, ni bora ukwepe maana unaweza kupata ugonjwa wa moyo ghafla. Dunia imechafuka sana, si kwa manaume wala wanawake, so the good way ni kupeana taarifa.
I love e'thing from u.
1. The avatar na maneno yake
2. Signature....I will love u untill 1+1 become 3.
I love e'thing from u.
1. The avatar na maneno yake
2. Signature....I will love u untill 1+1 become 3.