Wapwa eeeh! Nguli kapata mwenza naona mchuano unataka kuanza kati ya couple hii na ile ya xpin /ZD
I DONT BELIEVE IN BLUETOOTH/gprs LOVE/RELATIONSHIP.
MIMI NA MPENZI WANGU NINGEPENDA KUTEMBEA NAE KILA MAHALI TUSHIKANE MIKONO NA KILA MTU AJUE. NINA MAPENZI YA KUMBIKUMBI
I love e'thing from u.
1. The avatar na maneno yake
2. Signature....I will love u untill 1+1 become 3.
ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.aaaah nyamayao. Ushasahau nlishasemaga sijawahi mkata mwanamke yoyote bikira. Na wala hata sijui inakatwaje. Kwa upande wangu mi nilibikiriwa na sabuni nikiwa form two.
ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
hiyo ndio inakufaa! Naona umevunja rekodi kwa off point leo.
Wapwa eeeh! Nguli kapata mwenza naona mchuano unataka kuanza kati ya couple hii na ile ya xpin /ZD
Je inafaa kumfanyia mwenzio suprise bila kumpa taarifa ??
FL1π
FL1, swali hili gumu sana, kwanza kwa vile kiustaarabu inabidi umtaarifu mwenzio kuwa unaenda na pili kuonyesha kuwa unamwamini.
Lakini kwa upande mwingine unaweza kujiaminisha 'nipo peke yangu kwa hiyo ngoja nimpe 'surprise' kumbe unaenda kujua uliyokuwa hutakiwi kuyajua! saa nyingine huu unakuwa kama 'ufunuo'. Ila sasa, kama ndo umeenda hivo sawa ukamkuta yupo peke yake anaweza pia kununa kwa kutomtaarifu...labda iwe imejijengea mazoea kuwa wewe huwa unazuka tu!ππ
Kiaina nilifurahi kwani na mie nilikuwa nimemmiss,lakini sikuwa huru kwani nilikuwa najiuliza kwa nini ameamua kufanya hivi na kwa kweli sikupendezewa nalo na yeye alijua.Mbaya zaidi suprise yake ilisababisha ajue kitu ambacho sikutaka akijue na hata yeye hakuamini kama naweza kukifanya.Of course sikumkataza kufanya tena ila nilimwambia nitajifunza kuzoea.
kwa kweli alipofika chumbani alifurahi kuniona lakini niliona kabisa na aliniambia hakupenda nilivyokuja bila taarifa
eeh huyo atakayenuna labda hakupendi lol badala ya kufurahia ujio wa ghafla wa kipenzi chake ananuna
You see FL1, kuna 'mstari mwembamba' sana kwenye hilo la kutoa ama kutotoa taarifa (surprise au la). Kama ulivoona hapo juu, ijapokuwa kwa upande mmoja walifurahi, upande mwingine kulikuwa na concern kuwa kwa nini bila taarifa. Inaweza kujenga imani kuwa 'haniamini' and the like, which may or may not be true, lakini utamzuiaje kuamini?
Ndo maana nikasema labda iwe kama ni mazoea, lakini kwa wazoefu wa zaidi ya miaka 10 kama mimi na Mrs Nyamayao hapa hapo itakuwa na maswali mengi kweli!
FL1 afadhali hata wewe ulikumbuka mlango ulioingilia, mdogo wangu ali-collapse, nikapigiwa simu nitamchukue, maana sijui angerudije home
haha haaaaaaaaaaa, pole mwaya kwenye hii safari ya mapenzi hadi usettle kutendwa na kutenda ni lazima, bila hivyo unakuwa hujakomaa.πeeeh yaani mie mwenzio sijaandika kisanga chote nimekomea nusu yake lakini niliugua hukoooo nilipoelekea namshukuru mtu mmoja ambaye alinisaidi baada ya kutoka katika mlango huo maana nilikuwa naona giza
suprise nzuri ni ile ya mko pomoja, unamfanyia mwenzio kitu ambacho hategemei umfanyie kwa wakati huo. lkn ya kutoka mkoa hadi mkoa....?! ukipata ajali njiani?
haha haaaaaaaaaaa, pole mwaya kwenye hii safari ya mapenzi hadi usettle kutendwa na kutenda ni lazima, bila hivyo unakuwa hujakomaa.π