Supu nilikula nao kwanini wanishike mkono?

Supu nilikula nao kwanini wanishike mkono?

kinyamkela mahaba

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2022
Posts
1,178
Reaction score
1,596
Abari za muda ndugu zangu
Nyumbani naonatu pamekuwa pabovu mno... Toka jana yani

Jana nilinunua kilo mbili za nyama, nikamuambia mama mtu anitengee kilo anipikie supu ninywe, kisha inayobaki wale yeye na wanaye wawili kwakua inawatosha

Basi nikatengewq mezani. Kwa kua mimi ni baba nikawaita wanangu nile nao supu, sikuwa na hiyana, kiroho safi tu. Nayeye mama mtu akaja nikamkaribisha, akanywa supu, kiroho safi tu.

Jioni wakati wakula naona ametenga mboga bakuli mbili kubwa, moja akaqeka maarage nyingine akajaza nyama.... Yenye maarage akanisogezea yenye nyama ikabaki upande wake nawatoto.

Nikajiuliza nin hiki? Sikupata majibu yaharaka kwa wakati ule
Tukala kama tonge sita hivi, nikawa napamba bakuli lamaharage, tonge la saba nikasema sikubali
Sio kinyonge.

Nikapeleka mkono nipambe bakuli lanyama, naona mkewangu ananishika mkono ananitoa kwenye bakuli, nikajiuliza naota?
Nikakaushia, najaribu maraya pili naona watoto wanasogeza bakuli ili nisiingize mkono.

Mbona supu yangu walikunywa?kwa nin i wao awataki nipambe? Hawa madogo wanasahau kabisa mchana walikula supu yangu

Nikakataa unyonge, nikasema waache ukuda, ama sivyo nitanyang'anya bakuli lote, mama yao eti ananinawish anasema nimeshiba, asira zikapanda nikakwapua bakul nikaingia room nikajifungia.

Nikala nyama zote, nikatoka..nikaoga nikaenda kuchek gemu... Wao mbona walikunywa supu yangu? Sina habari.
 
Abari za muda ndugu zangu
Nyumbani naonatu pamekuwa pabovu mno... Toka jana yani

Jana nilinunua kilo mbili za nyama, nikamuambia mama mtu anitengee kilo anipikie supu ninywe,kisha inayobaki wale yeye na wanaye wawili kwakua inawatosha

Basi nikatengewq mezani. Kwa kua mimi ni baba nikawaita wanangu nile nao supu,sikuwa na hiyana,kiroho safi tu. Nayeye mama mtu akaja nikamkaribisha,akanywa supu.kiroho safi tu

Jioni wakati wakula naona ametenga mboga bakuli mbili kubwa,moja akaqeka maarage nyingine akajaza nyama....
Yenye maarage akanisogezea yenye nyama ikabaki upande wake nawatoto

Nikajiuliza nin hiki? Sikupata majibu yaharaka kwa wakati ule
Tukala kama tonge sita hivi,nikawa napamba bakuli lamaharage
. tonge la saba nikasema sikubali
Sio kinyonge

Nikapeleka mkono nipambe bakuli lanyama,naona mkewangu ananishika mkono ananitoa kwenye bakuli,nikajiuliza naota?
Nikakaushia,najaribu maraya pili naona watoto wanasogeza bakuli ili nisiingize mkono

Mbona supu yangu walikunywa?kwa nn wao awataki nipambe? Hawa madogo wanasahau kabisa mchana walikula supu yangu

Nikakataa unyonge,nikasema waache ukuda,,ama sivyo nitanyang'anya bakuli lote
,, mama yao eti ananinawish anasema nimeshiba, asira zikapanda nikakwapua bakul nikaingia room nikajifungia

Nikala nyama zote,nikatoka..nikaoga nikaenda kuchek gemu... Wao mbona walikunywa supu yangu?sina abari
Aisee hii familia yako ni kungfu panda tosha. Sidhani kama unalichoandiika hapa ni cha kweli
 
Chai
Screenshot_20241207-145912~2.jpg
 
sasa kwanini unakula kilo 1 mwenyewe? mbona kama uroho?

kwani ikipikwa yote mkala kidogo kidogo shida iko wapi?

baba wa familia kugombania nyama ni fedheha aisee

kuna umuhimu gani mtu mzima kula minyama kibao? si umeshamaliza kukua?


au labda umeandika chai
 
Abari za muda ndugu zangu
Nyumbani naonatu pamekuwa pabovu mno... Toka jana yani

Jana nilinunua kilo mbili za nyama, nikamuambia mama mtu anitengee kilo anipikie supu ninywe,kisha inayobaki wale yeye na wanaye wawili kwakua inawatosha

Basi nikatengewq mezani. Kwa kua mimi ni baba nikawaita wanangu nile nao supu,sikuwa na hiyana,kiroho safi tu. Nayeye mama mtu akaja nikamkaribisha,akanywa supu.kiroho safi tu

Jioni wakati wakula naona ametenga mboga bakuli mbili kubwa,moja akaqeka maarage nyingine akajaza nyama....
Yenye maarage akanisogezea yenye nyama ikabaki upande wake nawatoto

Nikajiuliza nin hiki? Sikupata majibu yaharaka kwa wakati ule
Tukala kama tonge sita hivi,nikawa napamba bakuli lamaharage
. tonge la saba nikasema sikubali
Sio kinyonge

Nikapeleka mkono nipambe bakuli lanyama,naona mkewangu ananishika mkono ananitoa kwenye bakuli,nikajiuliza naota?
Nikakaushia,najaribu maraya pili naona watoto wanasogeza bakuli ili nisiingize mkono

Mbona supu yangu walikunywa?kwa nn wao awataki nipambe? Hawa madogo wanasahau kabisa mchana walikula supu yangu

Nikakataa unyonge,nikasema waache ukuda,,ama sivyo nitanyang'anya bakuli lote
,, mama yao eti ananinawish anasema nimeshiba, asira zikapanda nikakwapua bakul nikaingia room nikajifungia

Nikala nyama zote,nikatoka..nikaoga nikaenda kuchek gemu... Wao mbona walikunywa supu yangu?sina abari
Mambo ya Lissu na Mbowe
 
Abari za muda ndugu zangu
Nyumbani naonatu pamekuwa pabovu mno... Toka jana yani

Jana nilinunua kilo mbili za nyama, nikamuambia mama mtu anitengee kilo anipikie supu ninywe,kisha inayobaki wale yeye na wanaye wawili kwakua inawatosha

Basi nikatengewq mezani. Kwa kua mimi ni baba nikawaita wanangu nile nao supu,sikuwa na hiyana,kiroho safi tu. Nayeye mama mtu akaja nikamkaribisha,akanywa supu.kiroho safi tu

Jioni wakati wakula naona ametenga mboga bakuli mbili kubwa,moja akaqeka maarage nyingine akajaza nyama....
Yenye maarage akanisogezea yenye nyama ikabaki upande wake nawatoto

Nikajiuliza nin hiki? Sikupata majibu yaharaka kwa wakati ule
Tukala kama tonge sita hivi,nikawa napamba bakuli lamaharage
. tonge la saba nikasema sikubali
Sio kinyonge

Nikapeleka mkono nipambe bakuli lanyama,naona mkewangu ananishika mkono ananitoa kwenye bakuli,nikajiuliza naota?
Nikakaushia,najaribu maraya pili naona watoto wanasogeza bakuli ili nisiingize mkono

Mbona supu yangu walikunywa?kwa nn wao awataki nipambe? Hawa madogo wanasahau kabisa mchana walikula supu yangu

Nikakataa unyonge,nikasema waache ukuda,,ama sivyo nitanyang'anya bakuli lote
,, mama yao eti ananinawish anasema nimeshiba, asira zikapanda nikakwapua bakul nikaingia room nikajifungia

Nikala nyama zote,nikatoka..nikaoga nikaenda kuchek gemu... Wao mbona walikunywa supu yangu?sina abari
Chako changu.....changu ni changu...fungua code hiii
 
Huo ni mfumo na maisha ndivyo yalivyo, ni kawaida watu kujisahau na kusahau mambo mapema.

Ndiyo maana waswahili wakaweka msemo... 'Anayekula ndizi husahau, ila mtupa maganda hasahau'.

Mkeo kasahau upendo wa mhemeaji na mletaji wa hicho kitoweo upoje kwa familia.

Kuwanyang'anya na kwenda kukomba peke yako liwe funzo kwao, ila na wewe mkuu mbona kama ni mtu mlafi sana?
 
Abari za muda ndugu zangu
Nyumbani naonatu pamekuwa pabovu mno... Toka jana yani

Jana nilinunua kilo mbili za nyama, nikamuambia mama mtu anitengee kilo anipikie supu ninywe, kisha inayobaki wale yeye na wanaye wawili kwakua inawatosha

Basi nikatengewq mezani. Kwa kua mimi ni baba nikawaita wanangu nile nao supu, sikuwa na hiyana, kiroho safi tu. Nayeye mama mtu akaja nikamkaribisha, akanywa supu, kiroho safi tu.

Jioni wakati wakula naona ametenga mboga bakuli mbili kubwa, moja akaqeka maarage nyingine akajaza nyama.... Yenye maarage akanisogezea yenye nyama ikabaki upande wake nawatoto.

Nikajiuliza nin hiki? Sikupata majibu yaharaka kwa wakati ule
Tukala kama tonge sita hivi, nikawa napamba bakuli lamaharage, tonge la saba nikasema sikubali
Sio kinyonge.

Nikapeleka mkono nipambe bakuli lanyama, naona mkewangu ananishika mkono ananitoa kwenye bakuli, nikajiuliza naota?
Nikakaushia, najaribu maraya pili naona watoto wanasogeza bakuli ili nisiingize mkono.

Mbona supu yangu walikunywa?kwa nin i wao awataki nipambe? Hawa madogo wanasahau kabisa mchana walikula supu yangu

Nikakataa unyonge, nikasema waache ukuda, ama sivyo nitanyang'anya bakuli lote, mama yao eti ananinawish anasema nimeshiba, asira zikapanda nikakwapua bakul nikaingia room nikajifungia.

Nikala nyama zote, nikatoka..nikaoga nikaenda kuchek gemu... Wao mbona walikunywa supu yangu? Sina habari.
Huu ni ubinafsi na uchoyo wa hali ya juu sana.
 
Abari za muda ndugu zangu
Nyumbani naonatu pamekuwa pabovu mno... Toka jana yani

Jana nilinunua kilo mbili za nyama, nikamuambia mama mtu anitengee kilo anipikie supu ninywe, kisha inayobaki wale yeye na wanaye wawili kwakua inawatosha

Basi nikatengewq mezani. Kwa kua mimi ni baba nikawaita wanangu nile nao supu, sikuwa na hiyana, kiroho safi tu. Nayeye mama mtu akaja nikamkaribisha, akanywa supu, kiroho safi tu.

Jioni wakati wakula naona ametenga mboga bakuli mbili kubwa, moja akaqeka maarage nyingine akajaza nyama.... Yenye maarage akanisogezea yenye nyama ikabaki upande wake nawatoto.

Nikajiuliza nin hiki? Sikupata majibu yaharaka kwa wakati ule
Tukala kama tonge sita hivi, nikawa napamba bakuli lamaharage, tonge la saba nikasema sikubali
Sio kinyonge.

Nikapeleka mkono nipambe bakuli lanyama, naona mkewangu ananishika mkono ananitoa kwenye bakuli, nikajiuliza naota?
Nikakaushia, najaribu maraya pili naona watoto wanasogeza bakuli ili nisiingize mkono.

Mbona supu yangu walikunywa?kwa nin i wao awataki nipambe? Hawa madogo wanasahau kabisa mchana walikula supu yangu

Nikakataa unyonge, nikasema waache ukuda, ama sivyo nitanyang'anya bakuli lote, mama yao eti ananinawish anasema nimeshiba, asira zikapanda nikakwapua bakul nikaingia room nikajifungia.

Nikala nyama zote, nikatoka..nikaoga nikaenda kuchek gemu... Wao mbona walikunywa supu yangu? Sina habari.
Baba zima unalalamika mkeo kakukazia nyama kuna watu wanakaziwa unyumba huko.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Gentlemen wewe ni Genius!!!

Unaguts za kuandika PUMBA zote hizo, anyway unakipaji cha utunzi🤝
 
Back
Top Bottom