Supu ya kichwa cha mbuzi

hata makongoro wanatumia viwembeeeeeee
 
Hao wanaotumia viwembe ni wahuni.Supu safi ya kichwa cha mbuzi daslam inapatikana Kabile Corner mbele kidogo tu ya rose garden kama unaelekea kwa Mwalimu Nyerere.
 

Hahahha, kwa hiyo ukajua hvo viwembe vimetumika?!!!
 
kukwangulia viwembe si issue na nina uhakika si used sema suala la kuona hivyo limekutatiza coz unajua matumizi ya wembe ndo hayo uliyolist, but wembe ni sharp cutter unaweza tumia hata kukatiakatia nyama hata ukipenda,.dont make other people feel as u feell urself, thats what u think bwana, but sidhani kama kuna shida wakifanya hivyo coz naamini viwembe hivyo si used. usiharibu biashara za watu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…