BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hacha kufananisha hilo "gimbi" na Gwamaka (Gk)Kwa watu wanao likumbuka kundi la East coast team nadhan watakua wanamjua soudy brown.. Anafahamika kitaambo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kesho mitandao isipozimwa sijui.Binafs nasubiri kesho nisome watu wakivuliwa nguo hadharani na mange
Huyu dada binafs nmemuogopa aise
Sudi ameshika pabaya ...kesho huku gwajima kule.mange
Vitu vitakua exposed out
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ameyatafuta mwenyewe
How long does the silly season last?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Account ya instagram ya uyo Sudi naona imekuwa "private" gafla.. kweli "daslam" inawenyewe..
As long as the silly audience subscribes.
Kafanana na bashite..View attachment 483175Kama alivyoahidi Mwanadada Kiboko ya Uchafu Mange Kimambi hatimaye aanika rasmi sura ya Soudy Brown a.k.a Roboti au Makorokocho
Shilawadu Shilawadu nawaona nawaona.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kafanana na bashite..
[emoji23] nilikua nawaza hicho kitu lakin watazima kwa mda gani ...wiki mwezi mana itarudishwa tu na ikirudishwa ngoma iko pale pale[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kesho mitandao isipozimwa sijui.
Mi mwenyewe hua najiuliza ina maana haishi na majirani, hajasoma na watu, hana marafiki, hana familia, anaishi porini.Mbna soudy anajulikana sana tu ...