Sura halisi ya Soudy Brown wa Clouds FM

Status
Not open for further replies.
imenifka hapaa kumbe walikuwa wanakwichi kwichi!!!!!?
 
Tsup.
KWA WASIOMJUA:
Soudy Brown ni Mtangazaji Maarafu Wa Clouds FM katika kipindi cha XXL kwenye sesion ya YOU HEARD.

Tumezoea kuziona picha za huyu jamaa akiwa na Mask usoni.

Yaani jamaa amefanikiwa kiasi kikubwa katika zoezi la kuificha sura yake, Maana kuna mpaka baadhi ya wasanii wakubwa Bongo ambao pia hawamjui
licha ya kwenda mjengoni(clouds) mara kibaao.

SASA WAKUU MWENYE PICHA YA SOUDY BROWN INAYOONYESHA SURA YAKE BILA MASK TUNAOMBA AITUPIE ILI TUMJUE...
 
STUNTER ..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…