Sura katika sheria

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kwanini tunaita Sura katika sheria za Tanzania hata kwingineko. Ninavyojua Sura ni chapter katika kitabu, sasa ina maana sheria zetu zina kitabu kimoja?
 
Kwanini tunaita Sura katika sheria za Tanzania hata kwingineko. Ninavyojua Sura ni chapter katika kitabu, sasa ina maana sheria zetu zina kitabu kimoja?
Yes, sheria zipo kwenye mpangilio kama kitabu, kuna sura ya kwanza ambayo ndo Interpretation of laws Act yenyewe inatoa tafsiri muhimu ambazo kuhusu sheria...
 
Yes, sheria zipo kwenye mpangilio kama kitabu, kuna sura ya kwanza ambayo ndo Interpretation of laws Act yenyewe inatoa tafsiri muhimu ambazo kuhusu sheria...
asante sana. haya mambo lazima kuyajua bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…