Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora

Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora

My Son drink water

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
4,932
Reaction score
13,306
Kuna watu wamefanya matukio ya kutisha lakini historia zao haziandikwi.

Kuna jambazi aliitikisa Tanzania alikuwa akiitwa Sura mbaya, si jina lake halisi bali lilitokana na matendo yake.

Jambazi hili lilikuwa likiishi Tabora miaka ya 1980.

Alikuwa na Uwezo wa kukupokonya chochote hata mkeo na alikuwa hakamatiki.

Najua mpo mnaojua historia ya hili jambazi karibuni mtiririke
 
Back
Top Bottom