Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora

Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora

habari za watu Kama hawa hazina afya kwa jamii sababu hazina mafunzo mema Bali huhamasisha uhalifu ntakupa mfano Wa mtu Kama ELCHAPO GUZMAN wao wanamuita mungu Wa madawa ,kilicho muhamasisha kujiingiza katika masuala hayo alikiri kuwa ni pamoja na kutizama picha nyingi za kihalifu na pia kusoma historia za PABLO ESCOBAR ,Nadhani umepata jambo

Kwa UK wana jamaa mmoja alikuwa mwizi sana na mpaka leo wanamkumbuka na kuna barabara na pub kwa jina lake
IMG_1549.jpg
 
Kuna jamaa alisumbua Sana DODOMA walimuita DAUDI MDUNYA miaka 198+ alifanya vurugu hatari lkn alikuja kuuwawa na kijana mdogo Sana miaka 12 kwa mshale
 
Sura mbaya,,,sio wa c ra kweli,,?[emoji23][emoji23]
 
power mangwana, jamabazi alijificha nyuma ya mazingaombwe
kama kuna mwenye stori yake au kitabu chake tafadhali
 
Du! Mimi niliwahi kumsikia tu Powemagwana baada ya kuacha ujambazi miaka ya 2000+
 
Back
Top Bottom