Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora

Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora

majambazi naofahamu walitingisha nchi mmoja alikuwa anaitwa nyau nafikiri wa Tabora na mwingine Kipagati wa Iringa
 
Miaka ya 1970 DAR ES SALAAM, Buguruni palikuwa panaitwa ALABAMA Kuna mtemi akiitwa John Wayne alikuwa anasumbua sana.

Alikutwa Round about ya Msimbazi na Uhuru enzi hizo akiwa wamemmaliza na wamekata mashine yake wameweka mdomoni mwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mburahahati miaka ya 90s kulikuwa na chafu moja ya kuitwa abdala kuveta huyo mtu balaa lake lilikuwa kubwa
 
Kuna miaka ijayo tutasikia au watakao kuwepo watasema, kulikuwa na jambazi lilikuwa linatumia kofia ya siasa kupora wafanyabiashara wakubwa na kuteka wanaopinga chama chake akiitwa Bashite. Ajabu kaja mshamba lakini kapata ujanja mjini na kubebwa na kijana wa ushuani akiitwa Rizimoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari za watu Kama hawa hazina afya kwa jamii sababu hazina mafunzo mema Bali huhamasisha uhalifu ntakupa mfano Wa mtu Kama ELCHAPO GUZMAN wao wanamuita mungu Wa madawa ,kilicho muhamasisha kujiingiza katika masuala hayo alikiri kuwa ni pamoja na kutizama picha nyingi za kihalifu na pia kusoma historia za PABLO ESCOBAR ,Nadhani umepata jambo
Mkuu hakuna kitu kisichokuwa na afya kwa wenzetu watu Kama hao huwa andikwa katika vitabu Aina zao za wiz na kuvunja kwa mambo ya kiusalama Zaid na kujifunza tactical nying kwa watu wa usalama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jambazi aliitwa kipagate iringa hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumshukuru Mola miaka hii mbabe mmoja JPM.... Sijui zamani Askari walifanyaje mtu anafanya zaidi ya matukio 20 na anajulikana.
By the way siji kumsahau sadro chinjachinja mwenye gari jekundu aliyevuma kwa stori mbaya za kuponda vichwa na kuchinja msituni.Sadro ulifanya siku zetu ziwe za kutisha miaka ile. Kwetu Mufindi kiboko alikuwa Jambazi Muvemba mvumbuzi wa liganga la fatuma.... Jamaa aliuliwa katika mpambano wa kivita uliopoteza polisi mmoja anaye jituma sana nyakati zile. Muvemba alifahamika kwa kila lika kuwa Ni Jambazi na alifanya nyakati zetu ziwe za kiza enzi zile
 
Back
Top Bottom