Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora

Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora

habari za watu Kama hawa hazina afya kwa jamii sababu hazina mafunzo mema Bali huhamasisha uhalifu ntakupa mfano Wa mtu Kama ELCHAPO GUZMAN wao wanamuita mungu Wa madawa ,kilicho muhamasisha kujiingiza katika masuala hayo alikiri kuwa ni pamoja na kutizama picha nyingi za kihalifu na pia kusoma historia za PABLO ESCOBAR ,Nadhani umepata jambo
Napenda sana habari za hawa manguli wa ma-cocain. ELCHAPO (mwanzilishi wa cocain pure) na ESCOBA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipagate alikuja kuuawa baada ya serikali kumtumia mwanamke aliyekua TISs na aliishi nae kama wapenzi kwamuda wamiaka ishirini.ndipo akamuuamini akatoa siri kwann risasi hata wamumiminie hutereza mwilini mwake.akamuhadisia yule demu kilakitu kwAmba rohoyake iko kwenye kivuli chakisigino..sasa yule Dada akapeleka taarifa zote kwawaliokua wamentuma.basi siku yaharusi akaandaliwa askari wakulenga kilekivuli chakisigino.sikuhiyo ndipo ikawa siku yamwisho kwa kipagate kuishi dunia(siku yaharusi)ilikua vurumai yakufa mtu
Tumshukuru Mola miaka hii mbabe mmoja JPM.... Sijui zamani Askari walifanyaje mtu anafanya zaidi ya matukio 20 na anajulikana.
By the way siji kumsahau sadro chinjachinja mwenye gari jekundu aliyevuma kwa stori mbaya za kuponda vichwa na kuchinja msituni.Sadro ulifanya siku zetu ziwe za kutisha miaka ile. Kwetu Mufindi kiboko alikuwa Jambazi Muvemba mvumbuzi wa liganga la fatuma.... Jamaa aliuliwa katika mpambano wa kivita uliopoteza polisi mmoja anaye jituma sana nyakati zile. Muvemba alifahamika kwa kila lika kuwa Ni Jambazi na alifanya nyakati zetu ziwe za kiza enzi zile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna miaka ijayo tutasikia au watakao kuwepo watasema, kulikuwa na jambazi lilikuwa linatumia kofia ya siasa kupora wafanyabiashara wakubwa na kuteka wanaopinga chama chake akiitwa Bashite. Ajabu kaja mshamba lakini kapata ujanja mjini na kubebwa na kijana wa ushuani akiitwa Rizimoko

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro not every thing you take us back to politics
Unajua politics inaboa ati
 
Bro not every thing you take us back to politics
Unajua politics inaboa ati
Ujambazi wake unahusikaje na politics? Jambazi ni jambazi jomba! Kama hujui ndio nakuambia.
Huyo ni zaidi ya hao kina sura mbaya, mgogo au Black cobra! Usidanganyike na VX hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipagate alikuja kuuawa baada ya serikali kumtumia mwanamke aliyekua TISs na aliishi nae kama wapenzi kwamuda wamiaka ishirini.ndipo akamuuamini akatoa siri kwann risasi hata wamumiminie hutereza mwilini mwake.akamuhadisia yule demu kilakitu kwAmba rohoyake iko kwenye kivuli chakisigino..sasa yule Dada akapeleka taarifa zote kwawaliokua wamentuma.basi siku yaharusi akaandaliwa askari wakulenga kilekivuli chakisigino.sikuhiyo ndipo ikawa siku yamwisho kwa kipagate kuishi dunia(siku yaharusi)ilikua vurumai yakufa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu lifafanue vizuri hili mkuu. Huyo alikuwa anaishi mkoa gani?. Miaka gani mkuu?. Kwa shida gani mpaka wamtumie demu TISS apoteze muda na rasimali kwa miaka 20,huku jamaa likiishi nae? (NB:-nikitumiwa mimi TISS demu mkali kuni-spay,atawageuka nyie kwa mambo atakayopewa atawasariti tu anahamia upande wangu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipagate alikuja kuuawa baada ya serikali kumtumia mwanamke aliyekua TISs na aliishi nae kama wapenzi kwamuda wamiaka ishirini.ndipo akamuuamini akatoa siri kwann risasi hata wamumiminie hutereza mwilini mwake.akamuhadisia yule demu kilakitu kwAmba rohoyake iko kwenye kivuli chakisigino..sasa yule Dada akapeleka taarifa zote kwawaliokua wamentuma.basi siku yaharusi akaandaliwa askari wakulenga kilekivuli chakisigino.sikuhiyo ndipo ikawa siku yamwisho kwa kipagate kuishi dunia(siku yaharusi)ilikua vurumai yakufa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks kwa hii simulizi niliisikia yaani yule dada alijitoa mpaka mwili wake na siku ya kuliua ilo dubwana aligeuka kuwa upande wa askari
 
Hiyo ni isiman hiyo unakutana na kipagate simchezo huyo kipagate...natakiwa nipate muda nikulishe lishe hii uelewe..ngoja nikuandalie series akati mnatingwa kumsoma Friday night bank robbery ,Mimi nakuja na series kukupa wanaume waliosumbua afrika mashariki kwa ujambazi ,pia unashangaa huyo mwana mke kuishi na mshikaji(kunakitu kinaitwa asali mtungini).......sasa ukikutana na mwanaume mbishi kipagate nilazima taasisi itume kama alivotumwa...pia ukumbuke risasi kuteleza mwilini ,da chakale dhahabu.sikuhizi mpinapigwa risasi vidoleni mnakufa wezuni zilikua zinateleza ,hahaaa kweli kale dhahabu
Hebu lifafanue vizuri hili mkuu. Huyo alikuwa anaishi mkoa gani?. Miaka gani mkuu?. Kwa shida gani mpaka wamtumie demu TISS apoteze muda na rasimali kwa miaka 20,huku jamaa likiishi nae? (NB:-nikitumiwa mimi TISS demu mkali kuni-spay,atawageuka nyie kwa mambo atakayopewa atawasariti tu anahamia upande wangu)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chizzo. Ili polisi wetu wawe smart nilazima wajifunze kupitia usumbufu wahawa watu..tatizo polisi wanaua tu nakuteka....hivyo wanaua vipaji ambavyo pengine ingepelekea kujifunza mambo mapya kwao(field
habari za watu Kama hawa hazina afya kwa jamii sababu hazina mafunzo mema Bali huhamasisha uhalifu ntakupa mfano Wa mtu Kama ELCHAPO GUZMAN wao wanamuita mungu Wa madawa ,kilicho muhamasisha kujiingiza katika masuala hayo alikiri kuwa ni pamoja na kutizama picha nyingi za kihalifu na pia kusoma historia za PABLO ESCOBAR ,Nadhani umepata jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipagate alikuja kuuawa baada ya serikali kumtumia mwanamke aliyekua TISs na aliishi nae kama wapenzi kwamuda wamiaka ishirini.ndipo akamuuamini akatoa siri kwann risasi hata wamumiminie hutereza mwilini mwake.akamuhadisia yule demu kilakitu kwAmba rohoyake iko kwenye kivuli chakisigino..sasa yule Dada akapeleka taarifa zote kwawaliokua wamentuma.basi siku yaharusi akaandaliwa askari wakulenga kilekivuli chakisigino.sikuhiyo ndipo ikawa siku yamwisho kwa kipagate kuishi dunia(siku yaharusi)ilikua vurumai yakufa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza kahawa mkuu
 
Hiyo kazi hataleo IPO,japokua leo teknolojia inawasevu kidogo,huyo kipagate sio miaka ya tisini ,nyuma zaidi enzi hizo Sera ya nchi ni ujamaa tu watu kujua kusoma na kuandika.(asali mtungini hiyo mbinu inavyoitwa)wakikuleta Huyo nawewe labda uwe jasusi wengi hua wanafeli moja yamtu amewahi kufaulu ni fedelis Castro ,alitumiwa jasus wakike alikwanguliwa Huyo demu najamaa sikuzote na siku yakutaka kumuua jamaa akamwambia huwezi nilijua umetumwa.jamaa akamsamehe akamwambia kawambie umechemka.....Huyo mama mzima hadi na ameendika kitabu,anasema anamisi sana fide ,hajaona mwanaume mashine kama jamaa America zima north and south..Jamaa alikua mjanja kotekote kwenye mapambano yakivita na kitandani
Kumbe walikuwa wanabariki, sawa Mkuu. Basi heshima kwa huyo mama aliyejitolea mpaka kupata watoto na huyo jambazi ili tu akamatwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipagate alikuja kuuawa baada ya serikali kumtumia mwanamke aliyekua TISs na aliishi nae kama wapenzi kwamuda wamiaka ishirini.ndipo akamuuamini akatoa siri kwann risasi hata wamumiminie hutereza mwilini mwake.akamuhadisia yule demu kilakitu kwAmba rohoyake iko kwenye kivuli chakisigino..sasa yule Dada akapeleka taarifa zote kwawaliokua wamentuma.basi siku yaharusi akaandaliwa askari wakulenga kilekivuli chakisigino.sikuhiyo ndipo ikawa siku yamwisho kwa kipagate kuishi dunia(siku yaharusi)ilikua vurumai yakufa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Si wanasema serikali haiamin uchawi kumbe ni msemo tyu ila inaamini ...serikali ni raia na bila raia hakuna serikali so usemi wa serikali haiamin uchawi na maneno tyu....raia hawaamin uchawi hahahhaahha
 
Back
Top Bottom