Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
JPM ataingia na system mpya ya Wabunge wanaoendana na kasi yake mwaka huu wa 2020. Wale waliotoka na ile system ya awamu iliyopita wengi watatemwa mno.
Vijana wengi sana wasio maarufu wataingia Bungeni mwaka huu 2020.
Wale waropokaji , wasio na elimu wala CV ya kukitetea chama na kuisaidia serikali wataachwa wengi sanaa.
Vijana msio na pesa wala CV msiogope kuchukua fomu.
Mtatoboa
Vijana wengi sana wasio maarufu wataingia Bungeni mwaka huu 2020.
Wale waropokaji , wasio na elimu wala CV ya kukitetea chama na kuisaidia serikali wataachwa wengi sanaa.
Vijana msio na pesa wala CV msiogope kuchukua fomu.
Mtatoboa