Sura ya Chadema katika Magazeti ya Mataifa

Sura ya Chadema katika Magazeti ya Mataifa

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kutana na taswira ya chama hiki kama ilivyoakisiwa leo kimataifa:

IMG_20241008_203242.jpg

Kwamba:

IMG_20241008_203846.jpg

Habari kamili iko hapa:

Who is Freeman Mbowe? Why Tanzania’s ruling party is targeting the opposition leader

Na hii ndiyo hali halisi.
 
Kwenye maandamano hatukuwaona mlimwacha DJ pamoja na mtoto wake peeke yao. Ila huku kwenye mitandao mnajiita Makamanda! Makamanda fake!

Umeshamaliza kuisema .. "hiiiiiiii ... iiiii.." sawa sawa?

Kama tayari rejea sasa usome kutambua kumbe Dunia inafahamu kuna serekale kandamizi huku!

Kisha rudi kwenye mada ujue kwanini kumbe hata UNGA huko tumekata magulu.
 
Kwenye maandamano hatukuwaona mlimwacha DJ pamoja na mtoto wake peeke yao. Ila huku kwenye mitandao mnajiita Makamanda! Makamanda fake!
Polisi walitanda kıla mahali kuwatisha wananchi Wasiandamane, na polisi walitokea mikoani kuongeza nguvu.

Huku JF wewe na yule Mwashamba mlikuwa mnawatisha watu mkisema “wathubutu kupeleka pua zao”

Hao ambao ndo watuhumiwa wa utekaji na mauwaji ndo waratibu wa kuyazuia.

Acha kujitoa ufahamu.
 
Polisi walitanda kıla mahali kuwatisha wananchi Wasiandamane, na polisi walitokea mikoani kuongeza nguvu.

Huku JF wewe na yule Mwashamba mlikuwa mnawatisha watu mkisema “wathubutu kupeleka pua zao”

Hao ambao ndo watuhumiwa wa utekaji na mauwaji ndo waratibu wa kuyazuia.

Acha kujitoa ufahamu.
Ndio maana nikasema makamanda fake. Kamanda halisi haogopi vita.
 
Ndio maana nikasema makamanda fake. Kamanda halisi haogopi vita.
Hivi wewe hujui kuwa maandamano ya amani ni halali kufanyika Kwa mujibu wa Katiba ya nchi hii, sasa kulikuwa na sababu zipi Kwa serikali hii ya CCM, kuwakusanya mapolisi wote wa nchi hii kuja Dar Kwa lengo la kuwatisha raia Ili wasiweze kuandamana??😳
 
Hivi wewe hujui kuwa maandamano ya amani ni halali kufanyika Kwa mujibu wa Katiba ya nchi hii, sasa kulikuwa na sababu zipi Kwa serikali hii ya CCM, kuwakusanya mapolisi wote wa nchi hii kuja Dar Kwa lengo la kuwatisha raia Ili wasiweze kuandamana??😳
Yalikuwa ya amani wakati DJ alihamasisha wanachagadomo kwa slogan ya "Samia Must Go"??
 
Back
Top Bottom