Sura yako inafanana na mnyama gani?

Sura yako inafanana na mnyama gani?

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Niaje wadau wa JF

Niko na mdau mmoja hapa anadai binadamu tuna sura za aina mbili, sura ya mbwa au sura ya paka. Sura ya mbwa anamanisha ni kwa wale wenye sura ndefu hivi. Sura ya paka anamaanisha ni kwa wale wenye sura za duara. Nikamuhoji mbona kuna jamaa falani ana kimdomo kama cha samaki hivi tunamuweka kundi gani hahaha aisee jamaa anazingua

Ila nimewaza tu kama mtu anaweza fananishwa na mnyama basi kwa sura yangu ningefanana sana na mbwa mwitu labda kutokana na masikio yangu kuwa makubwa. Sasa nimempigia simu wife kumuliza anaweza nifananisha sura na mnyama gani anadai nafanana sura na punda



Ila tuwe wawazi kweli unahisi unaweza kufanana sura na mnyama gani? Picha hapa najaribu kuzihusisha na mada husika kwa sababu uzi bila picha haunogi. .

6_1.jpg


8a6e3bf79b5159d3f572cfee47050e27.jpg


aindex.jpg


cat-man.jpg


Half-Man-and-Half-Animal-Effect.jpg


images.jpg
 
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa natimiza miaka mingi huko. Mungu anijahalie maisha marefu yenye amani na baraka tele. One love. .
Happiest birthday!! I hope your day is filled with lots of love and laughter! May all of your birthday wishes come true [emoji3060][emoji3060].
 
Happiest birthday!! I hope your day is filled with lots of love and laughter! May all of your birthday wishes come true [emoji3060][emoji3060].
Thank you so much, You always wish me best. Be blessed. .
 
Hivi sisimizi ni mnyama naona kama tunakamfanano kwa mbali

#Happybarthdaymkuu
 
Back
Top Bottom