nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Afrodenzi,
Tafadhali nenda polepole, the way I SEE it, you are likely to be carried away ....
Referring to these two threads below:-
I know of a friend of mine msichana tulikuwa tunafanya naye kazi kabla sijaitosa hiyo kampuni 3 years ago, what she did alienda South Africa wakampandikiza mbegu then everything went well mpaka akazaa the thing is yule aliyetoa zile mbegu aliandikisha jina lake pale hospitali siku alipoenda kuulizia pale hospitali wale madaktari nafikiri walimpa contacts za huyu rafiki yangu sasa yule mwanaume anasema anamuhitaji yule mtoto and he's ready to pay millions kwa huyu mwanamke as compensation (anavyodai yeye hilo limenishangaza) nilimuuliza huyu msichana why did you do it akasema aliamua tu na huyu msichana ni mtoto wa the ambassador of Tanzania to certain SADC country (I wouldn't like to mention it) na huyu jamaa yuko desperate kweli anamuhitaji huyo mtoto mpaka sasa bado issue inaendelea haijaisha
Mhhhhhhhhhhhhhhhhh?!kasheshe ni pale ambapo wengine
ili kuzuia matatizo ya kudaiwa watoto
wameamua kuzaa mpaka na mama za mabinti zao au ndugu zao wenyewe
yaani mtu na mkewe wana mtoto lakini surrogate mother ni mama mkwe
pata picha????????
Huwa wanatrace ila hata wakimpata si kila mtu anakuwa na haki na mtoto? na pia inategemea yule baba alipotoa mbegu alisainishwa vipi kama alisema hatafuatilia ataishia kumwona mtoto kwa mbali tu. yaani mimbegu ilivyojaa hapa bongo mpaka kaenda south? kuna story pia nilisikia mdada wa watu hataki kuolewa wala kuzaa mtoto awe na baba anakuja kumwoa. alichofanya alienda kijijini huko kutembea kwa ndugu zake akatembea na mwanakijiji huko yaani mchovumchovu, akarudi huku kimyaaa mpaka leo ana mtoto wake. sijui wanakuwa na akili gani. ila kuna wengine wana shida kiukweli kama mume hana uzazi kabisaIsije ikawa alipata one night stand huko South anasingizia mbegu. Yaani mtu amwage mimbegu yake hospital alafu aanze kutrace nani kapandikizwa. It does not make sense.
Da Asha sante sana kwa ufafanuziAfrodenzi asante kwa kuwakilisha hilo swala, personally huwa simalizi ku comprehend the issue. Hiyo wanafanya saana huko magharibi na nafikiri wao ndo wanaweza cause wanavisheria hata vya kipuuzi vya kumbana mtu. Tokana na the fact kua hawafanyi kienyeji na everything vinakua documented, yule biological mother hana jinsi zaidi ya kukabidhi huyo mtoto. Pia mara nyingi hao sarogates wanafanya hivyo kama a source of income ndo maana watu wanaofanya sana hii ni the rich and famous cause it costs a lot of money; For instance the gay Elton John na patner wake.
Hizo nchi tunazoona kua ni kioo cha kila kitu tusipoangalia zitatupeleka pabaya sana. Kama watu mmeoana kuna haja gani ya kuanza kutafuta tena surrogate? kama huzai ni understandable but una uwezo wa kuzaa, is there any need; I believe not. Hapo mtoto anachukuliwa kama commodity tu! I believe kuna haja ya kila mwanamke ambae Mwenyezi Mungu kampa uwezo wa kuzaa anatakiwa a experience at first hand, its a wonderful feeling, inakubadilisha you as being kabisa na kufanya uelewe na kuappreciate the world you live in zaidi.
Afrodenzi,
Tafadhali nenda polepole, the way I SEE it, you are likely to be carried away ....
Referring to these two threads below:-
Da Asha sante sana kwa ufafanuzi
kwa kweli hapa yaelekea ni tamaa
yapesa na matajiri ndio wanaofaidi na hil i..
Je tukiingia kwenye emotion side unafikiri ita
mu affect vipi yule alibeba mimba na baadaye mtoto kuchukuliwa?
Types of Surrogacy
There are two types of Surrogacy:
STRAIGHT - (This is also known as Traditional or Partial Surrogacy): This method uses the egg of the Surrogate Mother and the sperm of the Intended Father. This can be performed in an IVF clinic, but more often the technique of Artificial Insemination happens at home. In this situation the baby is biologically related to the Intended Father and the Surrogate Mother. Although it is the simpler of the two types of surrogacy in as much as conceiving is less complicated, mentally it can be the hardest to accept. Not only for the Surrogate Mother to give up her own biological child, but also for the Intended Mother to accept a child which her husband has fathered with another woman.
HOST - (Also known as Gestational or Full Surrogacy): This method uses the egg of the Intended Mother combined with the sperm of her husband or donor sperm. In this case an IVF clinic is always required. The Intended Father's sperm sometimes has to be frozen for 6 months. This depends on which clinic you choose to work with. A baby conceived by this method has no biological connection to the Surrogate Mother. This is by far the more difficult way to get pregnant. The chances of it working are low and it consumes a lot more time and energy to complete. However, many people feel more comfortable knowing the Surrogate Mother has no biological ties to the Surrogate baby she is to carry.
Huwa wanatrace ila hata wakimpata si kila mtu anakuwa na haki na mtoto? na pia inategemea yule baba alipotoa mbegu alisainishwa vipi kama alisema hatafuatilia ataishia kumwona mtoto kwa mbali tu. yaani mimbegu ilivyojaa hapa bongo mpaka kaenda south? kuna story pia nilisikia mdada wa watu hataki kuolewa wala kuzaa mtoto awe na baba anakuja kumwoa. alichofanya alienda kijijini huko kutembea kwa ndugu zake akatembea na mwanakijiji huko yaani mchovumchovu, akarudi huku kimyaaa mpaka leo ana mtoto wake. sijui wanakuwa na akili gani. ila kuna wengine wana shida kiukweli kama mume hana uzazi kabisa
Huwa wanatrace ila hata wakimpata si kila mtu anakuwa na haki na mtoto? na pia inategemea yule baba alipotoa mbegu alisainishwa vipi kama alisema hatafuatilia ataishia kumwona mtoto kwa mbali tu. yaani mimbegu ilivyojaa hapa bongo mpaka kaenda south? kuna story pia nilisikia mdada wa watu hataki kuolewa wala kuzaa mtoto awe na baba anakuja kumwoa. alichofanya alienda kijijini huko kutembea kwa ndugu zake akatembea na mwanakijiji huko yaani mchovumchovu, akarudi huku kimyaaa mpaka leo ana mtoto wake. sijui wanakuwa na akili gani. ila kuna wengine wana shida kiukweli kama mume hana uzazi kabisa
Yaani we acha tu mtu anataka kuwa mzazi mwenyewe sijui inakuwaje hapoNi bora kuadopt aisee kuliko kupandikiza mbegu maana huyo mtoto akikua akajua ulichokifanya anaweza kukuchukia sana. Maana bora ujue baba yako kafa kuliko uambiwe niliokota mbegu nisizozijua. Ila watu wengi these days ni wabinafsi huyo mtoto atajiju.
kasheshe ni pale ambapo wengine
ili kuzuia matatizo ya kudaiwa watoto
wameamua kuzaa mpaka na mama za mabinti zao au ndugu zao wenyewe
yaani mtu na mkewe wana mtoto lakini surrogate mother ni mama mkwe
pata picha????????
I know of a friend of mine msichana tulikuwa tunafanya naye kazi kabla sijaitosa hiyo kampuni 3 years ago, what she did alienda South Africa wakampandikiza mbegu then everything went well mpaka akazaa the thing is yule aliyetoa zile mbegu aliandikisha jina lake pale hospitali siku alipoenda kuulizia pale hospitali wale madaktari nafikiri walimpa contacts za huyu rafiki yangu sasa yule mwanaume anasema anamuhitaji yule mtoto and he's ready to pay millions kwa huyu mwanamke as compensation (anavyodai yeye hilo limenishangaza) nilimuuliza huyu msichana why did you do it akasema aliamua tu na huyu msichana ni mtoto wa the ambassador of Tanzania to certain SADC country (I wouldn't like to mention it) na huyu jamaa yuko desperate kweli anamuhitaji huyo mtoto mpaka sasa bado issue inaendelea haijaisha
kasheshe ni pale ambapo wengine
ili kuzuia matatizo ya kudaiwa watoto
wameamua kuzaa mpaka na mama za mabinti zao au ndugu zao wenyewe
yaani mtu na mkewe wana mtoto lakini surrogate mother ni mama mkwe
pata picha????????