Surrogate Mother



daaahh sasa hiyo ya kwenda kijijini
mmmmmmhh huo ni wizi wa mali ya asili...
vipi mwana akikuwa na aulize mama baba yangu ni nani??
 

daahhh thank you so much for the info
but where I highlight blue mmmhhh
mmmhh disagree with you ..
we still have to remember the Surrogate mother and the baby
are connected to one another through umbilical cord....
they do share things like blood, fluid , oxygen etc .... the baby relies 100% on the mother ..

for that reason i think the surrogate mother and the baby
are biological related
 

hapo kweny blue nashukuru
kwa hiyo info maana naona
watu walisha anza sema tamaduni za kzungu hizi
 

kwa hiyo lizzy unachosema wewe
ni kwamba mwanamke lazima atabakiwa na scar fulani
moyoni sababu kwa kiasi fulani huyo mwana ni wake....

na hapo kwenye blue ngoja nipache kwa sasa lol
 
Duh!!mtoto akidai wazazi wake itakuwaje hapo, sometimes inabidi tufikirie

mambo mengine yameanzishwa si kwa ajili yetu waafrika jamani

na ukiangalia hatuna sheria za mambo kama hayo

just imagine hapahapa tz utafute surrogate mmh hainipi kwa kweli cause utampa kiasi gani, je utamtunza kuhakikisha mimba inakua vyema, mazingira anayoishi je..mi nadhani mambo mengine tuwaachie wamagharibi waendelee nayo, wao wameyaanzisha na wao wayamalizie..sisi hatutoweza..unless ukapandikizwe hukohuko na si wewe kutafuta wa kukubebea hapa kwetu.

unakuta wazazi weusi mtoto mjapani au mchina kama kwenye 'desperate housewives'..je huyo mtoto si atajiona wa tofauti..au hata kama ni mweusi nae akikua lazima atasikia tu story ya jinsi alivyopatikana duniani hakuna siri kihivyo.
 

Thank you Lizzy.
 
niliwahi sikia lakini sikufuatilia sana<br />
sasa ngoja niingie goole mmhhhh
<br />
<br />
Nilishakwambia punguza haraka goole ndo nini? Hebu niPM sasa hv kuna urgent issue ya kuzungumza kuhusu mgonjwa wa home right?!
 
Sipati picha huko tuendako! Kumzalia mtu eti kwa sababu ya vijisenti vyake? Mungu forbid!!
 
Tatizo Dunia ya sasa hivi inaenda kwa makubaliano. Hisia na huruma tumeviweka pembeni.
Ndio maana ukiingia mkataba hata kama unakubana na wewe ulishakubali unakuwa na nguvu ya kisheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…