Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Ndugu zanguni, mateso haya mpaka lini? Mbona wageni wanatutesa namna hii? Nilinunua suruali yangu kali tu nyeusi kwa ajili ya ruti za hapa na pale
Leo nikiwa Kariakoo nikaona kuna ka uzi kananigasigasi hapa pajani. Nikaamua kukavuta. Cha ajabu nikawa nashangaa hakana mwisho, vile kameisha nashangaa watu wanasema Upindeeee Upindeee, ile kujiangalia nakuta suruali lote lishakuwa sketi kitaaaambo huku uzi nikiwa nautafuna mdomoni. Nimeaibika sana ndugu zanguni
Nasubiri kiza kiingie nijaribu kurejea nyumbani. Niko humu China Plaza, kuna bro kanistili hapa nikae tu kwa kujificha ficha
Leo nikiwa Kariakoo nikaona kuna ka uzi kananigasigasi hapa pajani. Nikaamua kukavuta. Cha ajabu nikawa nashangaa hakana mwisho, vile kameisha nashangaa watu wanasema Upindeeee Upindeee, ile kujiangalia nakuta suruali lote lishakuwa sketi kitaaaambo huku uzi nikiwa nautafuna mdomoni. Nimeaibika sana ndugu zanguni
Nasubiri kiza kiingie nijaribu kurejea nyumbani. Niko humu China Plaza, kuna bro kanistili hapa nikae tu kwa kujificha ficha