Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Unabaki na buku2 kweli na upo kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa mimi hapo zamani nilinunua kiatu kariakoo nikakivaa Toka kariakoo hadi posta sori ikachomoka wala akili za kurudi niliko nunua ziliniondokaNdugu zanguni, mateso haya mpaka lini? Mbona wageni wanatutesa namna hii? Nilinunua suruali yangu kali tu nyeusi kwa ajili ya ruti za hapa na pale
Leo nikiwa Kariakoo nikaona kuna ka uzi kananigasigasi hapa pajani. Nikaamua kukavuta. Cha ajabu nikawa nashangaa hakana mwisho, vile kameisha nashangaa watu wanasema Upindeeee Upindeee, ile kujiangalia nakuta suruali lote lishakuwa sketi kitaaaambo huku uzi nikiwa nautafuna mdomoni. Nimeaibika sana ndugu zanguni
Nasubiri kiza kiingie nijaribu kurejea nyumbani. Niko humu China Plaza, kuna bro kanistili hapa nikae tu kwa kujificha ficha
Jamaa ni mtu wa kanda ya sangara?
Still unavuta uzi wa mguu mmoja bado tu haujashituka na unaanza kuvuta uzi wa mguu wa pili tukubaliane tu hii story ina plot holes kama zile movie za kikorea wanaambiana siri nyuma ya ukuta ili mtu awasikie aende kutoa habari...Bwanga la kitambaa mkuu chini 22
Ila jamaa tukubali tu ni bigwa wa drama😁Still unavuta uzi wa mguu mmoja bado tu haujashituka na unaanza kuvuta uzi wa mguu wa pili tukubaliane tu hii story ina plot holes kama zile movie za kikorea wanaambiana siri nyuma ya ukuta ili mtu awasikie aende kutoa habari...
Ungeivua kabisa utembee kichele wajue una sonona tu.Ndugu zanguni, mateso haya mpaka lini? Mbona wageni wanatutesa namna hii? Nilinunua suruali yangu kali tu nyeusi kwa ajili ya ruti za hapa na pale
Leo nikiwa Kariakoo nikaona kuna ka uzi kananigasigasi huapa pajani. Nikaamua kukavuta. Cha ajabu nikawa nashangaa hakana mwisho, vile kameisha nashangaa watu wanasema Upindeeee Upindeee, ile kujiangalia nakuta suruali lote lishakuwa sketi kitaaaambo huku uzi nikiwa nautafuna mdomoni. Nimeaibika sana ndugu zanguni
Nasubiri kiza kiingie nijaribu kurejea nyumbani. Niko humu China Plaza, kuna bro kanistili hapa nikae tu kwa kujificha ficha
Uzi mmoja suruali yote hapo utajua kuna utunzi mwingine hauumizi kichwa kujua ni chaiNaumiza kichwa hapa hivi suruali gani inaweza kuwa kama sketi 🤔🤔
Mwanaume unatafuna uzi wa suruali? Tena kariakoo? Tuwaombee sana wanetuNdugu zanguni, mateso haya mpaka lini? Mbona wageni wanatutesa namna hii? Nilinunua suruali yangu kali tu nyeusi kwa ajili ya ruti za hapa na pale
Leo nikiwa Kariakoo nikaona kuna ka uzi kananigasigasi hapa pajani. Nikaamua kukavuta. Cha ajabu nikawa nashangaa hakana mwisho, vile kameisha nashangaa watu wanasema Upindeeee Upindeee, ile kujiangalia nakuta suruali lote lishakuwa sketi kitaaaambo huku uzi nikiwa nautafuna mdomoni. Nimeaibika sana ndugu zanguni
Nasubiri kiza kiingie nijaribu kurejea nyumbani. Niko humu China Plaza, kuna bro kanistili hapa nikae tu kwa kujificha ficha
Mchelemchelelsasa si akuitue wauza vipensi hapo nje ununue uvae au hela ndo hauna 😂
Na mimi nilimuona 🤣🤣🤣Kumbe yule ulikuwa wewe
Suruali chambuu 😂😂😂Ndugu zanguni, mateso haya mpaka lini? Mbona wageni wanatutesa namna hii? Nilinunua suruali yangu kali tu nyeusi kwa ajili ya ruti za hapa na pale
Leo nikiwa Kariakoo nikaona kuna ka uzi kananigasigasi hapa pajani. Nikaamua kukavuta. Cha ajabu nikawa nashangaa hakana mwisho, vile kameisha nashangaa watu wanasema Upindeeee Upindeee, ile kujiangalia nakuta suruali lote lishakuwa sketi kitaaaambo huku uzi nikiwa nautafuna mdomoni. Nimeaibika sana ndugu zanguni
Nasubiri kiza kiingie nijaribu kurejea nyumbani. Niko humu China Plaza, kuna bro kanistili hapa nikae tu kwa kujificha ficha
😀😀😀😀😀😀Kumbe yule ulikuwa wewe
Siyo vizuri😊🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmecheka hadi nimepaliwa, we jamaa
😁😹😹😁Ndugu zanguni, mateso haya mpaka lini? Mbona wageni wanatutesa namna hii? Nilinunua suruali yangu kali tu nyeusi kwa ajili ya ruti za hapa na pale
Leo nikiwa Kariakoo nikaona kuna ka uzi kananigasigasi hapa pajani. Nikaamua kukavuta. Cha ajabu nikawa nashangaa hakana mwisho, vile kameisha nashangaa watu wanasema Upindeeee Upindeee, ile kujiangalia nakuta suruali lote lishakuwa sketi kitaaaambo huku uzi nikiwa nautafuna mdomoni. Nimeaibika sana ndugu zanguni
Nasubiri kiza kiingie nijaribu kurejea nyumbani. Niko humu China Plaza, kuna bro kanistili hapa nikae tu kwa kujificha ficha
😂watu wanasema Upindeeee Upindeee
Sema jamaa story zako🤣🤣Ndugu zanguni, mateso haya mpaka lini? Mbona wageni wanatutesa namna hii? Nilinunua suruali yangu kali tu nyeusi kwa ajili ya ruti za hapa na pale
Leo nikiwa Kariakoo nikaona kuna ka uzi kananigasigasi hapa pajani. Nikaamua kukavuta. Cha ajabu nikawa nashangaa hakana mwisho, vile kameisha nashangaa watu wanasema Upindeeee Upindeee, ile kujiangalia nakuta suruali lote lishakuwa sketi kitaaaambo huku uzi nikiwa nautafuna mdomoni. Nimeaibika sana ndugu zanguni
Nasubiri kiza kiingie nijaribu kurejea nyumbani. Niko humu China Plaza, kuna bro kanistili hapa nikae tu kwa kujificha ficha
😂😂😂Kariakoo upigaji ni mwingi sanaHaa mimi hapo zamani nilinunua kiatu kariakoo nikakivaa Toka kariakoo hadi posta sori ikachomoka wala akili za kurudi niliko nunua ziliniondoka