Susan Kiwanga: Hakuna mwanadamu aliyeota mkia

Susan Kiwanga: Hakuna mwanadamu aliyeota mkia

Ameamua kudandia gari limfikishe mjini!
TUIYOGOPE SIKU YA HESABU

Qur'an Surah Abasa (80:33-37):"Lakini yatakapokuja makelele makubwa (yaani, sauti ya kiyama), siku hiyo mtu atamkimbia ndugu yake, na mama yake na baba yake, na mke wake na watoto wake. Kila mmoja wao siku hiyo atakuwa na jambo la kumtosha nafsi yake mwenyewe.

"Katika aya hizi, Mwenyezi Mungu anabainisha kuwa siku ya hukumu ni siku ya hofu na mashaka makubwa, kiasi kwamba watu watasahau kabisa uhusiano wao wa kifamilia. Hata wale ambao walikuwa wakiwategemea au kuwapenda sana duniani, kama vile wazazi, watoto, au wenzi, hawatakuwa na uwezo wa kusaidiana.

Kila mmoja atakuwa na jukumu la kujihangaikia mwenyewe na matendo yake.Hivyo, aya hizi zinatufundisha kujiandaa kwa siku hiyo kwa kufanya matendo mema na kumcha Mwenyezi Mungu, kwani hakuna mtu atakayeweza kumsaidia mwenzake siku ya hukumu.
 
TUIYOGOPE SIKU YA HESABU

Qur'an Surah Abasa (80:33-37):"Lakini yatakapokuja makelele makubwa (yaani, sauti ya kiyama), siku hiyo mtu atamkimbia ndugu yake, na mama yake na baba yake, na mke wake na watoto wake. Kila mmoja wao siku hiyo atakuwa na jambo la kumtosha nafsi yake mwenyewe.

"Katika aya hizi, Mwenyezi Mungu anabainisha kuwa siku ya hukumu ni siku ya hofu na mashaka makubwa, kiasi kwamba watu watasahau kabisa uhusiano wao wa kifamilia. Hata wale ambao walikuwa wakiwategemea au kuwapenda sana duniani, kama vile wazazi, watoto, au wenzi, hawatakuwa na uwezo wa kusaidiana.

Kila mmoja atakuwa na jukumu la kujihangaikia mwenyewe na matendo yake.Hivyo, aya hizi zinatufundisha kujiandaa kwa siku hiyo kwa kufanya matendo mema na kumcha Mwenyezi Mungu, kwani hakuna mtu atakayeweza kumsaidia mwenzake siku ya hukumu.
Hili taifa halina dini, hata watu wake wanaishi kama hawana dini
 
FB_IMG_17265126862472923.jpg
 
..Nadhani Rais Samia akimsikiliza huyu Mama wa Chadema ataelewa alipokosea.

..Ni dharau na kiburi kilichopitiliza na ukosefu wa maadili kufanananisha wanadamu na wanyama wenye mikia.



View: https://www.youtube.com/watch?v=uGLKVxOIc1I

Wanasiasa wawili wa CCM waliorudi kundini siku ya mkutano mkuu kule Dodoma waliambiwa na hayati JPM kwamba wamekatwa mikia.

Maana yake walikuwa nayo hapo kabla. sio ajabu hiyo mikia ikaweza kuota tena!.

Hizi ni kebehi za wanasiasa, vijembe siku zote vipo na masikio yanatakiwa kuvivumilia.
 
Nenda kule kachukue kitambulisho cha mzanzibar au ununue ardhi ama ugombee nafasi yoyote, mimi ni mtanganyika sina udungu na mzanzibar yoyote
Mtanganyika anayeficha sura yake na kuishia kumalizia hasira kwenye kurasa za Jamii Forum. Huo utanganyika wako Mungu akipenda ni mpaka 2030.
 
Back
Top Bottom