Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,168
- 1,549
..Nadhani Rais Samia akimsikiliza huyu Mama wa Chadema ataelewa alipokosea.
..Ni dharau na kiburi kilichopitiliza na ukosefu wa maadili kufanananisha wanadamu na wanyama wenye mikia.
View: https://www.youtube.com/watch?v=uGLKVxOIc1I
Huyu dada anataka kujionyesha kwamba yeye ni shupavu.