Haaaaaahaaaaaa!!! sasa ndugu yangu mbona jibu unalo tayari.Lets make t perfect HAUPO KAZINI HIVYO BASI HATA HAYO MADAI HAYAKUHUSU lakini kwa maelezo na ufafanuzi zaidi mwone mkubwa wako wa kazi.Pole ndugu yangu kwa maswaiba yaliyokupata mola akusaidie na urudi kazini mapema iwezekanavyo.